Author: Charles Adika
-
WAZAZI WATAKIWA KUWA KARIBU NA WANAO SHULE ZINAPOTARAJIWA KUFUNGWA .
Muhula wa tatu unapokaribia kukamilika miito imeanza kutolewa kwa wazazi katika kaunti ya Pokot magharibi kuwatunza vyema wanao katika muda wa takriban miezi miwili watakayokuwa nyumbani baada ya shule kufungwa. […]
-
SHULE YA MSINGI YA KOPOCH YANUFAIKA NA CHAKULA KUTOKA AFISI YA MKEWE RAIS.
Shule ya msingi ya Kopoch eneo bunge la kapenguria kaunti ya Pokot magharibi imepokea chakula kutoka kwa afisi ya mkewe rais Rachael Ruto chini ya mpango wa mama doing good […]
-
ZOEZI LA KUWASAJILI WAKULIMA POKOT MAGHARIBI LATARAJIWA HUKU WAKULIMA WAKITAKIWA KUJITOKEZA KATIKA ZOEZI HILO.
Waziri wa kilimo, mifugo, uvuvi na unyunyiziaji maji mashamba kaunti ya Pokot magharibi Wilfred Longronyang ametoa wito kwa wakulima kujitokeza ili kusajiliwa katika zoezi la usajili wa wakulima ambalo linatarajiwa […]
Top News







