Author: Charles Adika
-
SERIKALI YA POKOT MAGHARIBI YAENDELEZA MIKAKATI YA KUIMARISHA SEKTA YA UTALII.
Serikali ya kaunti ya Pokot magharibi imeendelea kuweka mikakati ya kuhakikisha kwamba inapata mapato kupitia utalii. Akizungumza eneo la Keringet wakati wa kuadhimisha siku ya utalii duniani, waziri wa utalii, […]
-
KAUNTI YA POKOT MAGHARIBI YAPOKEA SHEHENA YA VIFAA VYA MATIBABU.
Huduma za afya zinatarajiwa kuimarika kaunti ya Pokot magharibi baada wizara ya afya kaunti hiyo kupokea shehena ya kwanza ya vifaa vya matibabu vitakavyotumika na wahudumu wa afya maeneo ya […]
-
JAMII YATAKIWA KUKUMBATIA MBINU ZA UPANGAJI UZAZI ILI KUKUZA KIZAZI CHENYE AFYA.
Ipo haja ya jamii kukumbatia mbinu za upangaji uzazi ili kukuza kizazi chenye afya hasa hali ya maisha inapoendelea kubadilika kila kuchao kufuatia kupanda kwa gharama ya maisha. Akizungumza eneo […]
-
IDARA YA POLISI POKOT MAGHARIBI YAAPA KUKABILIANA NA WALANGUZI WA RISASI.
Kamanda wa polisi kaunti ya Pokot magharibi Peter Katam amewahakikishia wakazi wa kaunti hiyo kwamba idara ya polisi imeweka mikakati ya kuhakikisha wafanyibiashara waneoendeleza biashara haramu ya uuzaji risasi wanakabiliwa. […]
Top News








