Author: Charles Adika
-
BARAZA LA WAZEE POKOT MAGHARIBI LAENDELEZA MIKAKATI YA KUBUNI SHERIA ZA KUKABILI UKEKETAJI.
Harakati za kukabiliana na utamaduni wa ukeketaji katika kaunti ya pokot magharibi zimepigwa jeki baada ya baraza la wazee wa jamii ya pokot, kuahidi kuhusika katika vita dhidi ya mila […]
-
MIKWARUZANO YA KISIASA YAENDELEA TRANS NZOIA KUFUATIA SHINIKIZO LA KUBUNIWA KAUNTI MPYA YA MLIMA ELGON.
Viongozi wa chama cha Ford Kenya katika kaunti ya Trans nzoia wamewakosoa vikali baadhi ya viongozi katika kaunti hiyo ambao wanashinikiza kubuniwa kaunti mpya ya mlima Elgon kwa kumlaumu gavana […]
-
SERIKALI YATAKIWA KUWATUMIA VIJANA WALIOASI WIZI WA MIFUGO KATIKA KUWAKABILI WAHALIFU BONDE LA KERIO.
Aliyekuwa gavana wa kaunti ya Pokot magharibi Prof. John Lonyangapuo amependekeza kutumika vijana walioasi wizi wa mifugo kuwa maajenti wa serikali katika kuhakikisha amani inadumishwa katika kaunti za bonde la […]
Top News







