Author: Charles Adika
-
RAIS ASUTWA KWA UTENDAKAZI DUNI MWAKA MMOJA TANGU ALIPOINGIA AFISINI.
Baadhi ya wananchi katika kaunti ya Pokot magharibi wameendelelea kumsuta rais William Ruto kwa kile wamedai kwamba kuendelea kutoa ahadi tele kwa wakenya kila eneo analozuru hali hatekelezi ahadi hizo. […]
-
SERIKALI POKOT MAGHARIBI YATETEA HATUA YA KUWAAJIRI WATAALAM WA KUTOA MAFUNZO KWA WAKULIMA.
Waziri wa kilimo, mifugo, uvuvi na unyunyiziaji maji mashamba kaunti ya Pokot magharibi Wilfred Longronyang amepuuzilia mbali madai kwamba kulikuwa na mapendeleo katika kuwaajiri wataalam wa kutoa ushauri kwa wakulima […]
Top News







