Author: Charles Adika
-
RISASI 749 ZANASWA MARICH ZIKISAFIRISHWA KUELEKEA LAMI NYEUSI POKOT MAGHARIBI.
Maafisa wa polisi katika kizuizi cha polisi cha marich kaunti ya Pokot magharibi wamenasa risasi 749 ambazo zilikuwa zinasafirishwa na mhudumu wa boda boda. Akithibitisha kisa hicho kamanda wa polisi […]
-
SERIKALI POKOT MAGHARIBI YAENDELEZA MIKAKATI YA KUHAKIKISHA USALAMA WA WANANCHI MVUA YA ELNINO INAPOTARAJIWA.
Serikali ya kaunti ya Pokot magharibi imeendelea kuweka mikakati ya kuzuia athari zozote ambazo huenda zikashuhudiwa wakati wa mvua ya elnino ambayo inatarajiwa kushuhudiwa maeneo mbali mbali ya nchi kuanzia […]
Top News






