Author: Charles Adika
-
SERIKALI YA UGANDA YALAUMIWA KWA KUEGEMEA JAMII YA POKOT KATIKA VITA DHIDI YA WIZI WA MIFUGO.
Aliyekuwa gavana wa wilaya ya Amudat mpakani pa kaunti ya Pokot magharibi na taifa jirani la Uganda Francis Kiyonga ameilaumu serikali ya Uganda kwa kile amedai kukabili visa vya wizi […]
-
POGHISIO ATAJA SAFARI ZA RAIS RUTO NJE YA NCHI KUWA ZA MANUFAA KWA UCHUMI WA TAIFA
Aliyekuwa seneta wa kaunti ya Pokot magharibi Samwel Poghisio ametetea ziara ambazo rais William Ruto amekuwa akifanya katika mataifa ya kigeni akizitaja kuwa muhimu katika kuhakikisha taifa linastawi kiuchumi. Akizungumza […]
-
IDARA YA USALAMA POKOT MAGHARIBI YAWAHAKIKISHIA WATAHINIWA MAZINGIRA SALAMA KIPINDI CHA MITIHANI.
Idara ya usalama katika kaunti ya Pokot magharibi imeendelea kuwahakikishia watahiniwa wa mtihani wa kitaifa kwa kidato cha nne KCSE ambao umeingia siku yake ya pili kwamba hali ya usalama […]
-
SERIKALI YA POKOT MAGHARIBI YAZINDUA VIFAA VYA KILIMO KATIKA JUHUDI ZA KUPIGA JEKI SHUGHULI ZA WAKULIMA.
Gavana wa kaunti ya Pokot magharibi Simon Kachapin amesema kwamba serikali yake itaendelea kuweka kipau mbele maswala ya kilimo kwa kuwekeza zaidi katika wakulima wa kaunti hiyo ili kuhakikisha kuna […]
-
WAFUGAJI POKOT MAGHARIBI WATAKIWA KUTII AGIZO LA KUSITISHA MASOKO YA MIFUGO KWA MUDA.
Waziri wa kilimo na mifugo kaunti ya Pokot magharibi Wilfred Longronyang ametoa wito kwa wakulima wa mifugoi katika kaunti hiyo kutii agizo la kusitisha shughuli ya kupeleka mifugo kwa soko […]
Top News









