Author: Charles Adika
-
KACHAPIN: MAONYESHO YA KILIMO YATATUMIKA KUBADILI SURA YA KAUNTI YA POKOT MAGHARIBI MACHONI PA ULIMWENGU.
Gavana wa kaunti ya Pokot magharibi Simon Kachapin amesema maonyesho ya kilimo ambayo yanatarajiwa kuandaliwa katika uwanja wa maonyesho ya kilimo wa Kishaunet kaunti hiyo yatatumika kudhihirishia ulimwengu kwamba kaunti […]
-
MOROTO ASHINIKIZA HAKI KWA WAKAZI WALIOFURUSHWA KWENYE ARDHI YA CHEPCHOINA.
Mbunge wa Kapenguria kaunti ya Pokot magharibi Samwel Moroto ameendelea kushutumu hatua ya kufurushwa wakazi wanaoishi katika ardhi yenye utata ya chepchoina mpakani pa kaunti hiyoi na kaunti jirani ya […]
-
VIONGOZI POKOT MAGHARIBI WAENDELEZA MIKAKATI YA KULETA UTANGAMANO BAINA YA JAMII ZA POKOT NA SEBEI.
Viongozi katika kaunti ya Pokot magharibi wameelezea mikakati ambayo wanaendelea kuweka kuhakikisha kwamba jamii za Sebei na Pokot ambazo zimekuwa katika migogoro katika siku za hivi karibuni zinakumbatia amani na […]
-
BOWEN: OPARESHENI YA USALAMA IMEFANIKIWA BONDE LA KERIO.
Idara ya usalama eneo la pokot kusini katika kaunti ya Pokot magharibi imeelezea kufanikiwa oparesheni ya kiusalama ambayo inaendeshwa na maafisa wa polisi kwa ushirikiano na wale wa KDF hasa […]
Top News








