Author: Charles Adika
-
IDARA YA USALAMA POKOT MAGHARIBI YAWAHAKIKISHIA WATAHINIWA MAZINGIRA SALAMA KIPINDI CHA MITIHANI.
Idara ya usalama katika kaunti ya Pokot magharibi imeendelea kuwahakikishia watahiniwa wa mtihani wa kitaifa kwa kidato cha nne KCSE ambao umeingia siku yake ya pili kwamba hali ya usalama […]
-
SERIKALI YA POKOT MAGHARIBI YAZINDUA VIFAA VYA KILIMO KATIKA JUHUDI ZA KUPIGA JEKI SHUGHULI ZA WAKULIMA.
Gavana wa kaunti ya Pokot magharibi Simon Kachapin amesema kwamba serikali yake itaendelea kuweka kipau mbele maswala ya kilimo kwa kuwekeza zaidi katika wakulima wa kaunti hiyo ili kuhakikisha kuna […]
-
WAFUGAJI POKOT MAGHARIBI WATAKIWA KUTII AGIZO LA KUSITISHA MASOKO YA MIFUGO KWA MUDA.
Waziri wa kilimo na mifugo kaunti ya Pokot magharibi Wilfred Longronyang ametoa wito kwa wakulima wa mifugoi katika kaunti hiyo kutii agizo la kusitisha shughuli ya kupeleka mifugo kwa soko […]
-
MITIHANI YA KCSE YAANZA HUKU MIKAKATI IKIWEKWA KUHAKIKISHA USALAMA WA WATAHIWA POKOT MAGHARIBI.
Mikakati yote imewekwa kuhakikisha kwamba mitihani ya kitaifa kwa kidato cha nne KCSE ambayo imezanza jumatatu inafanyika na kukamilika vyema katika kaunti ya Pokot magharibi. Katika kikao na wanahabari kabla […]
-
GAVANA WA POKOT MAGHARIBI APONGEZWA KWA KUORODHESHWA WA TATU NCHINI KATIKA UTOAJI HUDUMA KWA WANANCHI.
Wadau mbali mbali kaunti ya Pokot magharibi wameendelea kupongeza hatua ya kuorodheshwa gavana Simon Kachapin katika nafasi ya tatu katika ripoti iliyotolewa na kampuni ya utafiti ya Infortrack kuhusiana na […]
-
POGHISIO AWAHIMIZA VIONGOZI POKOT MAGHARIBI KUWEKA MIKAKATI ITAKAYOWAHAKIKISHIA WAKAZI USALAMA.
Aliyekuwa seneta wa kaunti ya Pokot magharibi Samwel Poghisio amelalamikia uvamizi wa mara kwa mara ambao umeendelea kushuhudiwa mipakani pa kaunti hiyo licha ya oparesheni ya kiusalama ambayo inaendelezwa na […]
Top News









