Author: Charles Adika
-
WANANCHI POKOT MAGHARIBI WATAKIWA KUJITOKEZA KUSHIRIKI ZOEZI LA KITAIFA LA UPANZI WA MITI.
Kaunti ya Pokot magharibi inaungana na maeneo mengine nchini kuendeleza shughuli ya kitaifa ya upanzi wa miti hii leo ikizingatiwa ilitangazwa kuwa siku ya kitaifa ya mapumziko ili kutoa nafasi […]
-
-
MENGICH APONGEZA HATUA YA DCI KUWAHOJI BAADHI YA VIONGOZI WA TURKANA KUHUSIANA NA USALAMA.
Mwakilishi wadi ya seker kaunti ya Pokot magharibi Jane Mengich amepongeza hatua ya idara ya upelelezi DCI kuwahoji viongozi wawili katika kaunti ya Turkana kuhusiana na utovu wa usalama ambao unashuhudiwa […]
-
MAHAKAMA YA KAPENGURIA YAZINDUA MWEZI WA KUSHUGHULIKIA KESI ZA WATOTO.
Mahakama ya kapenguria katika kaunti ya Pokot magharibi imezindua rasmi mwezi wa kushughulikia kesi zinazowahusu watoto kwa haraka katika mwendelezo wa shughuli hiyo ambayo hutengewa mwezi Novemba kila mwaka. Jaji […]
-
MAONYESHO YA KILIMO POKOT MAGHARIBI YAANZA RASMI WAKULIMA WAKITAKIWA KUKUMBATIA TEKNOLOJIA YA KISASA KATIKA KILIMO.
Wakulima katika kaunti ya Pokot magharibi wametakiwa kukumbatia teknolijia ya kisasa katika kuendeleza shughuli zao za kilimo ili kuwa katika nafasi bora ya kuimarisha mazao yao. Akizungumza wakati wa ufunguzi […]
-
SERIKALI YA UGANDA YALAUMIWA KWA KUEGEMEA JAMII YA POKOT KATIKA VITA DHIDI YA WIZI WA MIFUGO.
Aliyekuwa gavana wa wilaya ya Amudat mpakani pa kaunti ya Pokot magharibi na taifa jirani la Uganda Francis Kiyonga ameilaumu serikali ya Uganda kwa kile amedai kukabili visa vya wizi […]
Top News









