Author: Charles Adika
-
VIONGOZI WA UDA POKOT MAGHARIBI WAPONGEZA HATUA YA KUAHIRISHWA UCHAGUZI WA CHAMA MASHINANI.
Viongozi wa chama cha UDA kaunti ya Pokot magharibi wameunga mkono hatua ya kuahirishwa uchaguzi wa mashinani wa chama hicho ambao ulikuwa umeratibiwa kuandaliwa tarehe 9 mwezi desemba hadi mwezi […]
-
WAFUGAJI POKOT MAGHARIBI WATAKIWA KUSHIRIKIANA NA SERIKALI KUTOKOMEZA UGONJWA WA MIGUU NA MIDOMO.
Serikali ya kaunti ya Pokot magharibi kupitia wizara ya kilimo imekeriri kujitolea kuhakikisha kwamba inamaliza ugonjwa wa mifugo wa miguu na midomo, ikitoa wito kwa wafugaji kushirikiana nayo katika juhudi […]
-
SHIRIKA LA DNDI LAANZA KAMBI YA MATIBABU KWA MAGONJWA YALIYOSAHAULIKA POKOT MAGHARIBI.
Shirika la Drugs for Neglected diseases initiative DNDI limeandaa kambi ya matibabu katika shule ya msingi ya St. Comboni Kacheliba kaunti ya Pokot magharibi kuangazia magonjwa yaliyosahaulika kama vile kala […]
-
WANANCHI WATAKIWA KUIPA MUDA SERIKALI INAPOFANYIA MAGEUZI IDARA YA AFYA.
Katibu katika wizara ya afya Mary Muthoni ametoa wito kwa wakazi katika kaunti ya Pokot magharibi kuipa muda idara ya afya kutokana na mageuzi ambayo yanafanyika kwenye idara hiyo hasa […]
Top News








