Author: Charles Adika
-
IDARA YA MIPANGO NA MAENDELEO YAENDELEZA VIKAO VYA KUKUSANYA MAONI KUHUSU BAJETI.
Maafisa kutoka idara ya mipango na maendeleo katika serikali kuu wamezuru kaunti ya Pokot magharibi kupokea maoni ya wananchi katika vikao ambavyo inaendelezwa katika ngazi za kaunti kwa lengo la […]
-
MATUMIZI YA DAWA ZA KULEVYA YATAJWA KUWA CHANZO KIKUU CHA MAGONJWA YA AKILI POKOT MAGHARIBI.
Idadi kubwa ya visa vya ugonjwa wa akili miongoni mwa vijana husababishwa na matumizi ya dawa za kulevya. Haya ni kwa mujibu wa daktari mkuu katika hospitali ya rufaa ya […]
-
WAKAZI WAHIMIZWA ‘KUTIA BREKI’ UZAZI KACHELIBA.
Wito umetolewa kwa wakazi eneo la Kacheliba kaunti ya Pokot magharibi kukumbatia mpango uzazi kama njia moja ya kukuza kizazi chenye afya. Ni wito wake naibu kamishina eneo hilo Kenneth […]
Top News







