Author: Charles Adika
-
KACHAPIN AAHIDI KUIMARISHA SHUGHULI YA UCHIMBAJI DHAHABU ROMUS.
Gavana wa kaunti ya Pokot magharibi Simon Kachapin ameahidi kwamba serikali yake itahakikisha wakazi wa eneo la Romus Pokot kaskazini wananufaika na shughuli ya uchimbaji dhahabu ikiwa ndio shughuli ambayo […]
-
JAMII KATIKA KAUNTI ZA POKOT MAGHARIBI, BARINGO NA ELGEYO MARAKWET ZATAKIWA KUJITENGA NA TAMADUNI YA UKEKETAJI.
Wito umetolewa kwa wakazi wa kaunti ya Pokot magharibi, Elgeyo marakwet na Baringo kujitenga na tamaduni za ukeketaji na badala yake kuangazia maswala ambayo yatapelekea jamii hizi kuafikia maendeleo na […]
-
HUDUMA ZA MATIBABU ZATARAJIWA KUIMARIKA KASEI BAADA YA KUFUNGULIWA ZAHANATI MBALI MBALI.
Waziri wa afya katika kaunti hii ya Pokot magharibi Cleah Parklea ametaja hatua ya kufunguliwa zahanati maeneo ya Chepelion, Lelmelo, Kamketo na Opol kuwa ya muhimu zaidi katika kuhakikisha huduma […]
-
WIZARA YA USALAMA YATAKIWA KUHARAKISHA MCHAKATO WA KUWAAJIRI MAAFISA WA NPR.
Mwakilishi wadi ya seker kaunti ya Pokot magharibi Jane Mengich ameitaka wizara ya usalama na maswala ya ndani ya nchi kuharakisha mchakato wa kuhakikisha maafisa wa akiba NPR wanaanza kuhudumu […]
-
SHUGHULI ZA MASOMO KUREJELEWA JANUARI KWENYE SHULE ZILIZOATHIRIKA NA UTOVU WA USALAMA POKOT MAFGHARIBI.
Waziri wa usalama na maswala ya ndani ya nchi Prof. Kithure Kindiki amewahakikishia wakazi wa maeneo ambako shughuli za masomo zilisitishwa kufuatia utovu wa uslama katika kaunti ya Pokot magharibi […]
Top News









