Author: Charles Adika
-
WAKAZI WA MAENEO YALIYOATHIRIKA NA UTOVU WA USALAMA WATAKIWA KUWAREJESHA WANAO SHULENI.
Naibu gavana wa kaunti ya Pokot magharibi Robert Komole amewataka wazazi wa wanafunzi katika shule ambazo zilifungwa kufuatia utovu wa usalama maeneo ya mipakani kuhakikisha kwamba wanao wanaenda shuleni shughuli […]
-
ENEO LA STATE LODGE KUFUNGULIWA ENEO LA TURKWEL POKOT MAGHARIBI.
Wizara ya usalama nchini kwa ushirikiano na mamlaka ya maendeleo eneo la Kerio Valley KVDA inaendeleza mikakati ya kufufua eneo litakalotumika na rais kuendeleza shughuli zake maarufu state Lodge eneo […]
-
WALIOHAMA KUTOKANA NA UTOVU WA USALAMA MIPAKANI PA KAUNTI YA POKOT MAGHARIBI WAHIMIZWA KUREJEA.
Mwakilishi wadi ya Siyoi kaunti ya Pokot magharibi Esther Serem ametoa wito kwa wakazi waliohama makwao kutokana na utovu wa usalama hasa maeneo ya mipakani pa kaunti ya Pokot magharibi, […]
Top News









