Author: Charles Adika
-
WAKULIMA POKOT MAGHARIBI WAHIMIZWA KUZAMIA KILIMO CHA NYASI.
Na Benson Aswani. Serikali ya kaunti hii ya Pokot magharibi kupitia wizara ya kilimo inalenga kuimarisha kilimo cha nyasi hasa katika kipande cha ardhi cha Nasukuta ili kutosheleza mahitaji ya […]
-
WIZARA YA ELIMU YATAKIWA KUHAKIKISHA CHAKULA CHA KUTOSHA KWA SHULE ZA MIPAKANI POKOT MAGHARIBI.
Na Emmanuel Oyasi. Mbunge wa Sigor katika kaunti ya Pokot magharibi Peter Lochakapong amemtaka waziri wa elimu Ezekiel Machogu kubuni sheria ambayo itahakikisha kwamba chakula hakikosekani katika shule za maeneo […]
-
MAAFISA WA ASTU WASHUTUMIWA KWA KUWAHANGAISHA WAKAZI WA KERINGET .
Na Benson Aswani Wakazi wa eneo la Keringet kaunti ya Pokot magharibi wamewasuta maafisa wa usalama wa kitengo cha kukabiliana na wizi wa mifugo ASTU kwa kile wamedai kunyanyaswa na […]
-
CHANGAMOTO ZINAZOMKUMBA MTOTO WA KIKE POKOT MAGHARIBI ZATAJWA KUCHANGIA MATOKEO DUNI KATIKA MITIHANI YA KITAIFA.
Na Emmanuel Oyasi Changamoto nyingi ambazo mtoto wa kike anapitia miongoni mwa jamii katika kaunti ya Pokot magharibi zimetajwa kuwa chanzo cha wengi wa wanafunzi wa kike kutofanya vyema katika […]
-
MAAFISA WA AKIBA NPR POKOT MAGHARIBI WAANZA RASMI MAJUKUMU YAO.
Maafisa wa akiba NPR ambao waliteuliwa kuhudumu katika kaunti ya Pokot magharibi wametakiwa kushirikiana kikamilifu na maafisa wengine wa usalama ili kuhakikisha kwamba malengo ya kukabili utovu wa usalama hasa […]
-
CHAMA CHA KUPPET POKOT MAGHARIBI CHAPONGEZA SHULE ZA KAUNTI HIYO KWA MATOKEO BORA YA MTIHANI WA KCSE.
Chama cha walimu wa shule za upili na vyuo vya kadri KUPPET tawi la kaunti ya Pokot magharibi kimepongeza matokeo bora ya mtihani wa kitaifa kwa kidato cha nne KCSE […]
-
SHULE YA UPILI YA CHEWOYET YAENDELEZA MATOKEO BORA KATIKA MTIHANI WA KCSE POKOT MAGHARIBI.
Shule mbali mbali za upili katika kaunti ya Pokot magharibi zimeendelea kusherehekea matokeo bora ambayo zimesajili katika mtihani wa kitaifa kwa kidato cha nne KCSE mwaka jana ambayo yalitangazwa jumatatu […]
Top News









