Author: Charles Adika
-
SERIKALI YA POKOT MAGHARIBI YATIA SAINI MKATABA WA USHIRIKIANO NA MAMLAKA YA KVDA.
Na Emmanuel Oyasi.Serikali ya kaunti ya Pokot magharibi imetia saini mkataba wa maelewano na mamlaka ya maendeleo ya Kerio valley KVDA ambao utaiwezesha mamlaka hiyo kushirikiana na serikali ya kaunti […]
-
HATUA YA RAIS RUTO KUKUTANA NA JAJI MKUU YAENDELEA KUVUTIA HISIA MSETO.
Na Emmanuel Oyasi. Hisia mseto zimeendelea kuibuliwa kufuatia hatua ya rais William Ruto kukutana na jaji mkuu Martha Koome miongoni mwa maafisa wengine kutoka idara ya mahakama na serikali katika […]
-
HOSPITALI YA RUFAA YA KAPENGURIA YAIMARISHA HUDUMA ZA UPASUAJI.
Na Benson Aswani.Hospitali ya Kapenguria katika kaunti ya Pokot magharibi imeendelea kuweka mikakati ya kuimarisha huduma kwa wagonjwa wanaohitaji upasuaji.Kulingana na mkuu wa matibabu katika hospitali hiyo Dkt Simon Kapchanga, […]
Top News








