Author: Charles Adika
-
PKOSING ALALAMIKIA KUHANGAISHWA KUHUSIANA NA HATUA YAKE YA ‘KUWATETEA’ WANANCHI.
Na Benson Aswani Mbunge wa Pokot kusini katika kaunti ya Pokot magharibi David Pkosing ameshutumu hatua ya kuagizwa kuandikisha taarifa katika idara ya uchunguzi wa uhalifu CID kwa madai ya […]
-
GAVANA KACHAPIN ATAKELEZA MABADILIKO KWENYE BARAZA LAKE LA MAWAZIRI.
Na Emmanuel oyasi. Gavana wa kaunti ya Pokot magharibi Simon Kachapin ametekeleza mabadiliko kadhaa kwenye baraza lake la mawaziri ambapo baadhi ya mawaziri na maafisa wakuu wamehamishiwa wizara mbali mbali.Katika […]
-
WAZAZI WATAKIWA KUWAPELEKA MAPEMA WANAO WANAOJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA SHULENI ILI KUSAJILIWA.
Na Benson Aswani. Shughuli ya kuwasajili wanafunzi wanaojiunga na shule za upili ikiendelea, wito umetolewa kwa wazazi wa wanafunzi ambao bado hawajaripoti katika shule walizoitwa kuhakikisha watoto wao wanaripoti katika […]
-
UTOVU WA USALAMA WAENDELEA KURIPITIWA KERIO VALLEY MWALIMU MMOJA AKIULIWA BARINGO.
Na Emmanuel Oyasi. Hali ya taharuki imetanda eneo la Bartabwa, eneo bunge la Baringo kaskazini kufuatia kisa cha Jumapili wiki hii cha mauaji ya naibu mwalimu mkuu wa shule ya […]
Top News









