News
-
SERIKALI YASUTWA KWA KUVUNJA SHERIA KATIKA KUKABILI UTOVU WA USALAMA BONDE LA KERIO.
Polisi kwa ushirikiano na kikosi cha maafisa wa jeshi wakiendelea na oparesheni ya kuondoa silaha zinazomilikiwa kinyume cha sheria pamoja na kuhakikisha wanakabiliana na wezi wa mifugo katika bonde la […]
-
KAUNTI YA POKOT MAGHARIBI YAPOKEA DAWA ZA KIMA CHA SHILINGI MILIONI 43 KUTOKA KEMSA.
Shirika la kusambaza dawa na vifaa vya matibabu KEMSA limeipokeza kaunti ya Pokot magharibi dawa za kima cha shilingi milioni 43 huku likiahidi kusambaza kiwango kilichosalia kabla ya mwisho wa […]
-
WAZAZI POKOT MAGHARIBI WATAKIWA KUTILIA MAANANI ELIMU KUWA SULUHU KWA UTOVU WA USALAMA.
Wito umetolewa kwa wakazi wa kaunti ya Pokot magharibi kukumbatia elimu kwa ajili ya wanao na kuhakikisha kwamba wanasalia shuleni kwa kuwajibikia mahitaji yote kwa manufaa yao ya siku za […]
-
WAAKILISHI WADI POKOT MAGHARIBI WAKOSOA OPARESHENI YA KIUSALAMA.
Waakilishi wadi katika kaunti ya Pokot magharibi wamelalamikia jinsi serikali inavyoshughulikia swala la utovu wa usalama katika kaunti za bonde la Kerio, wakisema kwamba ipo njia bora na salama inayoweza […]
-
PKOSING AKAMATWA NA KUHOJIWA NA DCI KUHUSU UTOVU WA USALAMA KERIO VALLEY.
Mbunge wa Pokot kusini David Pkosing alikamatwa alhamisi jioni na kuhojiwa kwa muda na idara ya upelelezi DCI kabla ya kuachiliwa huru kufuatia madai ya kutoa semi zinazodaiwa kuchochea uhasama […]
-
WAKAZI MASOL WALALAMIKA KUATHIRIKA NA AMRI YA KUTOKUWA NJE.
Aliyekuwa mwakilishi wadi ya Masol eneo bunge la Sigor katika kaunti ya Pokot magharibi Ariong’o Loporna amelalamikia utekelezwaji wa amri ya kutokuwa nje kuanzia saa kumi na mbili jioni hadi […]
-
WALIMU WAONYWA DHIDI YA KUWASAJILI WANAFUNZI WA GREDI YA SITA KUFANYA MTIHANI WA DARASA LA NANE KCPE.
Idara ya elimu eneo la Pokot kusini katika kaunti ya Pokot magharibi imewaonya vikali wazazi na walimu wakuu wa shule mbali mbali dhidi ya kuwasajili wanafunzi waliofanya mtihani wa gredi […]
-
OPARESHENI YA KIUSALAMA YAANZA RASMI BONDE LA KERIO HUKU IDARA ZA USALAMA ZIKICHUKUA TAHADHARI KUZUIA WAHALIFU KUKIMBILIA MAENEO MENGINE.
Idara ya usalama eneo la pokot kusini katika kaunti ya Pokot magharibi iko imara kuhakikisha kwamba hamna mkazi yeyote kutoka maeneo ambako kunaendeshwa oparesheni ya kiusalama atatorokea eneo hilo.Naibu kamishina […]
-
WAKAZI WA JAMII YA POKOT WATOA WITO KWA SERIKALI YA UGANDA KUWAHAKIKISHIA USALAMA KARITA.
Wakazi wa eneo la Karita mpakani pa kaunti ya Pokot magharibi na taifa jirani la Uganda wametoa wito kwa serikali ya rais Yoweri Museven kuzidisha juhudi za kuhakikisha amani inadumishwa […]
-
WADAU WAENDELEZA MIKAKATI YA KUKABILI ATHARI ZA UKAME POKOT MAGHARIBI.
Maeneo ya pokot ya kati na pokot kaskazini katika kaunti hii ya Pokot magharibi ndiyo yaliyoathirika zaidi na hali ya ukame ambayo imeendelea kushuhudiwa nchini.Haya yalibainika katika kikao cha wadau […]
Top News










