News
-
MACHIFU SIGOR WATAKA MBINU YA KUTWAA SILAHA KUTOKA MIKONONI MWA WAKAZI KUBADILISHWA.
Machifu wa eneo bunge la sigor katika kaunti ya Pokot magharibi wametoa wito wa kubadilishwa mbinu za kuendesha oparesheni ya kutwaa silaha haramu ambazo zinamilikiwa na raia eneo hilo. Wakiongozwa […]
-
UNICEF YAHIMIZA MDAHALO KUHUSU AFYA YA WATOTO KUPEWA KIPAU MBELE.
Shirika la kushighulikia mswala ya watoto UNICEF limeelezea haja ya wadau kuendeleza mdahalo kuhusiana na maswala yanayowapa kipau mbele watoto kaunti ya Pokot magharibi ili kuwepo na mbinu mpya za […]
-
WAKAZI WATAKIWA KUTOYAUZA MAZAO YAO YOTE WAKATI WA MAVUNO ILI KUKABILI BAA LA NJAA MSIMU WA UKAME.
Wito umetolewa kwa wakazi wa kaunti ya Pokot magharibi kuwa makini wakati wanapovuna mazao yao na kutoyauza yote ili kukabiliana na baa la njaa hasa misimu ya ukame. Ni wito […]
-
WEZI WA MIFUGO WAENDELEA KUKAIDI OPARESHENI YA KIUSALAMA BONDE LA KERIO, HUKU IDADI YA NG’OMBE ISIYOJULIKANA WAKIIBWA TAMBACH.
Taharuki ingali imetanda katika kijiji cha Kapushen wadi ya Tambach eneo la pokot kusini kaunti ya Pokot magharibi baada ya wezi wa mifugo kuvamia eneo hilo usiku wa kuamkia jumapili […]
-
SERIKALI YAPANGA KUCHIMBA VISIMA KUKABILI ATHARI ZA UKAME POKOT MAGHARIBI.
Serikali ya kaunti ya Pokot magharibi ina mipango ya kuchimba visima katika kila wadi ambazo zimeathirika pakubwa na ukosefu wa maji kufuatia ukame ambao unashuhudiwa maeneo mbali mbali ya nchi. […]
-
IDARA MBALI MBALI ZA SERIKALI YA POKOT MAGHARIBI ZAWASILISHA RIPOTI ZA MAONI KUHUSU MAANDALIZI YA BAJETI.
Waakilishi wadi katika kaunti ya Pokot magharibi wamewahakikishia wananchi kwamba watafuatilia kwa karibu kuhakikisha kwamba maoni yaliyotolewa kuhusu utekelezwaji wa bajeti yanatekelezwa kikamilifu. Akizungumza wakati wa vikao vya kuangazia ripoti […]
-
BIASHARA YA DAWA ZA KULEVYA YARIPOTIWA KUKITHIRI KACHELIBA WAATHIRIWA WAKUU WAKIWA VIJANA.
Wakazi eneo la Kacheliba katika kaunti ya Pokot magharibi wamelalamikia kukithiri utumizi wa dawa za kulevya miongoni mwa vijana hali ambayo inatishia usalama wa eneo hilo. Wakiongozwa na mwenyekiti wa […]
-
SERIKALI YAAHIDI KUSHIRIKIANA NA MASHIRIKA YASIYO YA SERIKALI KUIMARISHA MAISHA YA WAKAZI POKOT MAGHARIBI.
Serikali ya kaunti ya Pokot magharibi itatenga fedha zaidi katika kipindi cha fedha kijacho ili kuimarisha shughuli za makundi mbali mbali ya wafanyibiashara wa viwango vya chini hasa maeneo ya […]
-
TSC YASHUTUMU VISA VYA UVAMIZI DHIDI YA WALIMU POKOT MAGHARIBI.
Tume ya huduma kwa walimu TSC imeshutumu vikali visa vya uvamizi dhidi ya walimu katika kaunti ya Pokot magharibi ambavyo vimeripotiwa kukithiri.Akirejelea kisa cha hivi majuzi cha kuvamiwa mwalimu mkuu […]
-
SHUGHULI ZA MASHIRIKA YASIYO YA SERIKALI ZAANZA KUZAA MATUNDA POKOT MAGHARIBI.
Miradi ya kilimo ambayo ilianzishwa katika kaunti ya Pokot magharibi na mashirika yasiyo ya serikali kuanzia mwaka 2020 ikiwemo ile ya unyunyiziaji maji mashamba na kuhusisha makundi mbali mbali ya […]
Top News










