News
-
WADAU WA ELIMU WAANDAA KIKAO CHA KUTATUA MZOZO UNAOKUMBA SHULE YA KAMOTING POKOT MAGHARIBI.
Mkurugenzi wa elimu kaunti ndogo ya Kapenguria katika kaunti ya Pokot magharibi Amos Kibet amewalaumu wazazi wa shule ya msingi ya Kamoting kuhusiana na jinsi ambavyo wameshughulikia lalama ambazo wamekuwa […]
-
WAKULIMA WALALAMIKIA KUJIKOKOTA SHUGHULI YA KUSAMBAZA MBOLEA KATIKA MAGHALA YA NCPB.
Wakulima katika kaunti ya Pokot magharibi wametaka kuharakishwa shughuli ya kutoa mbolea inayoendelea katika maghala ya NCPB. Wakiongozwa na Harison Loyatum wakulima hao walisema kwamba mbolea ni kidogo mno katika […]
-
MZOZO KATI YA WAZAZI NA UONGOZI WA SHULE YA KAMOTINY POKOT MAGHARIBI WAZIDI KUKOLEA.
Wazazi wa shule ya msingi ya Kamotiny kaunti ya Pokot magharibi wamesuta uongozi wa shule hiyo kutokana na jinsi ambavyo unaendesha shughuli mbali mbali hali ambayo inasemekana kuchangia mzozo baina […]
-
MACHIFU SIGOR WATAKA MBINU YA KUTWAA SILAHA KUTOKA MIKONONI MWA WAKAZI KUBADILISHWA.
Machifu wa eneo bunge la sigor katika kaunti ya Pokot magharibi wametoa wito wa kubadilishwa mbinu za kuendesha oparesheni ya kutwaa silaha haramu ambazo zinamilikiwa na raia eneo hilo. Wakiongozwa […]
-
UNICEF YAHIMIZA MDAHALO KUHUSU AFYA YA WATOTO KUPEWA KIPAU MBELE.
Shirika la kushighulikia mswala ya watoto UNICEF limeelezea haja ya wadau kuendeleza mdahalo kuhusiana na maswala yanayowapa kipau mbele watoto kaunti ya Pokot magharibi ili kuwepo na mbinu mpya za […]
-
WAKAZI WATAKIWA KUTOYAUZA MAZAO YAO YOTE WAKATI WA MAVUNO ILI KUKABILI BAA LA NJAA MSIMU WA UKAME.
Wito umetolewa kwa wakazi wa kaunti ya Pokot magharibi kuwa makini wakati wanapovuna mazao yao na kutoyauza yote ili kukabiliana na baa la njaa hasa misimu ya ukame. Ni wito […]
-
WEZI WA MIFUGO WAENDELEA KUKAIDI OPARESHENI YA KIUSALAMA BONDE LA KERIO, HUKU IDADI YA NG’OMBE ISIYOJULIKANA WAKIIBWA TAMBACH.
Taharuki ingali imetanda katika kijiji cha Kapushen wadi ya Tambach eneo la pokot kusini kaunti ya Pokot magharibi baada ya wezi wa mifugo kuvamia eneo hilo usiku wa kuamkia jumapili […]
-
SERIKALI YAPANGA KUCHIMBA VISIMA KUKABILI ATHARI ZA UKAME POKOT MAGHARIBI.
Serikali ya kaunti ya Pokot magharibi ina mipango ya kuchimba visima katika kila wadi ambazo zimeathirika pakubwa na ukosefu wa maji kufuatia ukame ambao unashuhudiwa maeneo mbali mbali ya nchi. […]
-
IDARA MBALI MBALI ZA SERIKALI YA POKOT MAGHARIBI ZAWASILISHA RIPOTI ZA MAONI KUHUSU MAANDALIZI YA BAJETI.
Waakilishi wadi katika kaunti ya Pokot magharibi wamewahakikishia wananchi kwamba watafuatilia kwa karibu kuhakikisha kwamba maoni yaliyotolewa kuhusu utekelezwaji wa bajeti yanatekelezwa kikamilifu. Akizungumza wakati wa vikao vya kuangazia ripoti […]
-
BIASHARA YA DAWA ZA KULEVYA YARIPOTIWA KUKITHIRI KACHELIBA WAATHIRIWA WAKUU WAKIWA VIJANA.
Wakazi eneo la Kacheliba katika kaunti ya Pokot magharibi wamelalamikia kukithiri utumizi wa dawa za kulevya miongoni mwa vijana hali ambayo inatishia usalama wa eneo hilo. Wakiongozwa na mwenyekiti wa […]
Top News










