News
-
SERIKALI YAWAHAKIKISHIA WAKAZI SULUHU KWA TATIZO LA MAJI POKOT MAGHARIBI.
Serikali ya kaunti ya Pokot magharibi imeendelea kuweka mikakati ya kukabili tatizo la uhaba wa maji ambalo limekumba jamii nyingi maeneo mbali mbali ya kaunti hiyo na ambao umechangiwa pakubwa […]
-
MASHIRIKA YA KIJAMII POKOT MAGHARIBI YAELEZEA WASI WASI KUHUSU VIWANGO VYA DHULUMA DHIDI YA WANAWAKE.
Mashirika mbali mbali ya kijamii katika kaunti ya Pokot magharibi yalitumia hafla ya kuadhimisha siku ya kimataifa ya wanawake duniani jumatano kuwahamsasisha wanawake kuhusu haki zao katika jamii. Wakiongozwa na […]
-
VIONGOZI POKOT MAGHARIBI WAKOSOA HATUA YA KUHUSISHWA KAUNTI HII NA UTOVU WA USALAMA.
Baadhi ya viongozi katika kaunti ya Pokot magharibi wameendelea kukosoa dhana kuwa uhalifu mwingi ambao unatokea katika kaunti za bonde la kerio unahusisha jamii ya Pokot. Wakiongozwa na mbunge wa […]
-
WADAU MBALI MBALI WAENDELEA KUPINGA UAMUZI WA MAHAKAMA KUHUSU HARAKATI ZA LGBTQ NCHINI.
Viongozi mbali mbali wa kidini wameendelea kukosoa uamuzi wa mahakama ya upeo wa kuwaruhusu watu wanaoendeleza mahusiano ya jinsia moja kubuni mashirika ya kutetea maslahi yao. Wa hivi punde kuzungumzia […]
-
KUKITHIRI MATUMIZI YA DAWA ZA KULEVYA NA POMBE KWAIBUA HOFU KACHELIBA.
Wakazi wa Kacheliba katika kaunti ya Pokot magharibi wameendelea kulalamikia kukithiri matumizi ya mihadarati na pombe miongoni mwa vijana. Wakiongozwa na kiongozi wa vijana eneo hilo Job Wanjala wakazi hao […]
-
MASOMO KATIKA SHULE ZA JUNIOR SECONDARY YAKABILIWA NA CHANGAMOTO.
Wadau katika sekta ya elimu kaunti ya Pokot magharibi wameendelea kulalamikia changamoto ambazo zinakabili utekelezwaji wa mtaala mpya wa elimu CBC. Mwalimu mkuu wa shule ya msingi ya St Brendan […]
-
VIONGOZI WATAKA KUWEKWA MIKAKATI YA KUKABILI HALI YA UKAME KATIKA KAUNTI ZA WAFUGAJI
Baadhi ya viongozi katika kaunti ya Pokot magharibi sasa wanatoa changamoto kwa serikali ya rais William Ruto kuweka mikakati ya kuhakikisha kwamba swala la ukame linakabiliwa hasa katika kaunti za […]
-
SERIKALI YALAUMIWA KWA KUENDESHA OPARESHENI YA KIUSALAMA KWA MAPENDELEO KASKAZINI MWA BONDE LA UFA.
Mbunge wa Pokot kusini katika kaunti ya Pokot magharibi David Pkosing ameilaumu serikali kwa kile amedai kwamba imeruhusu wakazi katika kaunti jirani kumiliki silaha kinyume cha sheria baada ya wakazi […]
-
VIONGOZI WASHUTUMU MASHAMBULIZI AMBAYO YAMEENDELEA KURIPOTIWA LICHA YA OPARESHENI INAYOENDELEA BONDE LA KERIO.
Viongozi katika kaunti ya Pokot magharibi wameshutumu vikali mashambulizi ambayo yameendelea kuripotiwa katika kaunti za bonde la kerio licha ya oparesheni ya kiusalama ambayo inaendelea katika kaunti sita za kaskazini […]
-
MWANAFUNZI WA NASOKOL AIBUKA WA PILI KITAIFA KATIKA UANDISHI WA INSHA KWENYE ZOEZI LA SPELLING BEE.
Mwanafunzi wa shule ya msingi ya Nasokol katika kaunti ya Pokot magharibi ameibuka wa pili nchini katika zoezi la uandishi wa insha maarufu spelling bee ambalo lilifadhiliwa na kampuni ya […]
Top News









