News
-
VIONGOZI POKOT MAGHARIBI WAHUSISHA HATUA YA KUWAHAMI NPR WA UPANDE WA ELGEYO MARAKWET NA MAUAJI YA WATU WAWILI KAMOLOGON.
Naibu gavana kaunti ya Pokot magharibi Robert Komole amesuta hatua ya wizara ya usalama chini ya waziri Kithure Kindiki kuwakabidhi bunduki maafisa wa NPR wanaohudumu upande wa Elgeyo marakwet na […]
-
POLISI KACHELIBA WAMZUILIA MWANAMME ALIYEJARIBU KUMHEPESHA MWANAFUNZI KWA LENGO LA KUMWOA.
Mwanafunzi wa shule moja ya upili ya Wasichana Eneo bunge la Kacheliba kaunti ya Pokot Magharibi ameokolewa mikononi mwa mwanaume aliyekuwa akijaribu kumtorosha punde tu walipofunga shule mapema jana. Akithibitisha […]
-
BARAZA LA WAZEE POKOT MAGHARIBI LAPEWA MAKATAA YA SIKU 21 KUFANYA UCHAGUZI MPYA.
Afisi ya mwanasheria mkuu wa serikali imelipa baraza la wazee katika kaunti ya Pokot magharibi siku 21 kufanya uchaguzi wa viongozi wake. Kulingana na mshirikishi wa baraza hilo kanda ya […]
-
WATU WAWILI WAUAWA KWENYE UVAMIZI KAMOLOGON
Taharuki imeendelea kukumba kijiji cha Kamologon mpakani pa kaunti ya Pokot magharibi na kaunti jirani ya Elgeyo marakwet baada ya majangili wanaoshukiwa kutoka kaunti jirani kuvamia kijiji hicho na kuwaua […]
-
VIONGOZI POKOT MAGHARIBI WATAKA VITUO VYA POLISI KUJENGWA KWA WIKI MAENEO YA MIPAKANI ILI KUIMARISHA DORIA ZA KIUSALAMA.
Aliyekuwa mwakilishi wadi maalum kaunti ya Pokot magharibi Grace Rengei ametoa wito kwa serikali kujenga vituo vya polisi maeneo ya mipakani pa kaunti ya Pokot magharibi na kaunti jirani za […]
-
RUTO: TUTAYAPA MATAKWA YA WANANCHI KIPAU MBELE KATIKA KUTEKELEZA MIRADI YA MAENDELEO.
Waziri wa barabara katika kaunti ya Pokot magharibi Joshua Ruto amesema serikali ya kaunti hiyo itatekeleza miradi yake ya maendeleo kulingana na matakwa ya wananchi. Akizungumza eneo la Chepareria wakati […]
-
WAFUGAJI WATAKIWA KUPANDA CHAKULA CHA MIFUGO KWA WINGI MSIMU HUU WA MVUA.
Wafugaji katika kaunti ya Pokot magharibi wametakiwa kutumia msimu huu wa mvua kupanda kwa wingi chakula cha mifugo ili kuwa na uhakikisho wa lishe ya mifugo wakati mvua ikipungua. Akizungumza […]
-
NZI WATAJWA KUWA KERO KATIKA HOSPITALI YA KAPENGURIA POKOT MAGHARIBI.
Wagonjwa katika hospitali ya kapenguria kaunti ya Pokot magharibi wamelalamikia kukithiri nzi katika wadi za hospitali hiyo hali wanayoelezea hofu kwamba huenda ikapelekea mkurupuko wa magonjwa yanayotokana na uchafu. Walisema […]
-
OPARESHENI YA KIUSALAMA KASKAZINI MWA BONDE LA UFA YAENDELEA KUKOSOLEWA NA WADAU MAENEO HAYO.
Wanaharakati kaunti ya Pokot magharibi wamekosoa oparesheni ya kiusalama inayoendelezwa na maafisa wa polisi kwa ushirikiano na wale wa jeshi mipakani pa kaunti hiyo, kuwakabili wezi wa mifugo ambao wamekuwa […]
-
SERIKALI YA POKOT MAGHARIBI YAENDELEZA MIKAKATI YA KUIMARISHA MAZINGIRA YA WAFANYIBIASHARA.
Serikali ya kaunti ya Pokot magharibi kupitia idara ya biashara, viwanda, mashirika na kawi imeratibu miradi mbali mbali ambayo inanuiwa kuwanufaisha wakazi hasa wafanyibiashara katika juhudi za kupiga jeki shughuli […]
Top News










