News
-
PKOSING ASUTWA VIKALI KWA KUENDELEZA SHINIKIZO LA KUMBANDUA RAIS MAMLAKANI.
Wakazi wa kaunti ya Pokot magharibi wametakiwa kuunga mkono kikamilifu uongozi wa rais William Ruto na kupuuza miito ya viongozi wa upinzani kuhusu kuandaliwa maandamano na kukusanya saini za kumbandua […]
-
VIONGOZI WA KENYA KWANZA WAKASHIFU MAANDAMANO YA MRENGO WA AZIMIO.
Viongozi wa kaunti ya Pokot magharibi wanaoegemea mrengo wa Kenya kwanza wameshutumu vikali maandamano yaliyoendeshwa na mrengo wa azimio katika kuadhimisha siku ya sabasaba ijumaa iliyopita kuishinikiza serikali kupunguza gharama […]
-
SERIKALI YATAKIWA KUIPA KIPAU MBELE KAUNTI YA POKOT MAGHARIBI KATIKA USAJILI WA WALIMU.
Serikali imetakiwa kuwekeza zaidi katika elimu kaunti ya Pokot magharibi ili kuiwezesha kufikia viwango vya kaunti zingine nchini ikizingatiwa ilisalia nyuma zaidi kwa kipindi kirefu. Wakiongozwa na mwenyekiti wa bodi […]
-
UHABA WA LISHE NA MAJI KWA MIFUGO WATAJWA KUWA CHANZO CHA UTOVU WA USALAMA BONDE LA KERIO.
Mizozo mingi ambayo imekuwa ikishuhudiwa maeneo ya mipakani pa kaunti hii ya Pokot magharibi na kaunti jirani za Elgeyo marakwet na Turkana na kupelekea hali ya utovu wa usalama inatokana […]
-
KIWANDA CHA SIMITI CHA SEBIT CHAAHIDI KUTENGA ASILIMIA 80 YA NAFASI ZA AJIRA KWA WAKAZI WA POKOT MAGHARIBI.
Gavana wa kaunti ya Pokot magharibi Simon Kachapin amempongeza mwekezaji ambaye anaendeleza ujenzi wa kiwanda cha simiti eneo la Sebit eneo bunge la Pokot kusini anachosema kitakuwa cha manufaa makubwa […]
-
MFUMO UNAOTUMIKA KUSAMBAZA FEDHA ZA INUA JAMII WATAJWA KUWA DHALIMU KWA WAZEE.
Serikali imetakiwa kubadili mfumo ambao unatumika kutoa pesa za inua jamii kwa makundi lengwa ikiwemo ya wazee, walemavu na mayatima nchini. Ni wito ambao umetolewa na wakazi wa kaunti ya […]
-
SERIKALI YA POKOT MAGHARIBI YAENDELEZA SHUGHULI YA KUWAPA WAKULIMA MBUZI AINA YA GALA KUIMARISHA SHUGHULI ZA KILIMO CHA UFUGAJI.
Serikali ya kaunti ya Pokot magharibi imeendeleza mikakati ya kuimarisha kilimo cha ufugaji kwa wakazi wa kaunti hiyo katika juhudi za kuimarisha mapato miongoni mwa wakazi kupitia shughuli za kilimo. […]
-
LONYANGAPUO: SULUHU KWA TATIZO LA NJAA KAUNTI HII NI KWA KILA MMOJA KWENDA SHAMBANI.
Aliyekuwa gavana wa kaunti ya Pokot magharibi John Lonyangapuo ameelezea haja ya kuwekeza pakubwa katika kilimo ili kukabili tatizo la njaa ambalo limekuwa kizungumkuti kila wakati wa kiangazi katika kaunti […]
-
WAATHIRIWA WA MAFURIKO MUINO WALALAMIKIA KUTELEKEZWA NA SERIKALI
Waathiriwa wa mafuriko ya mwaka 2019 eneo la Muino Pokot ya kati kaunti ya Pokot magharibi wamelalamikia kutelekezwa na serikali licha ya hasara na madhara waliyopata kufuatia hali hiyo. Wakiongozwa […]
-
WAKULIMA POKOT MAGHARIBI WATAKIWA KUJIUNGA KWENYE MAKUNDI ILI KUNUFAIKA NA HUDUMA MBALI MBALI.
Meneja wa shirika la E for Impact moja ya mashirika ambayo yanaendeleza miradi mbali mbali ya kuwawezesha wakulima kaunti ya Pokot magharibi Banadet Mutinda ametoa wito kwa wakulima katika kaunti […]
Top News










