News
-
WAZAZI WATAKIWA KUWA KARIBU NA WANAO SHULE ZINAPOTARAJIWA KUFUNGWA .
Muhula wa tatu unapokaribia kukamilika miito imeanza kutolewa kwa wazazi katika kaunti ya Pokot magharibi kuwatunza vyema wanao katika muda wa takriban miezi miwili watakayokuwa nyumbani baada ya shule kufungwa. […]
-
SHULE YA MSINGI YA KOPOCH YANUFAIKA NA CHAKULA KUTOKA AFISI YA MKEWE RAIS.
Shule ya msingi ya Kopoch eneo bunge la kapenguria kaunti ya Pokot magharibi imepokea chakula kutoka kwa afisi ya mkewe rais Rachael Ruto chini ya mpango wa mama doing good […]
-
ZOEZI LA KUWASAJILI WAKULIMA POKOT MAGHARIBI LATARAJIWA HUKU WAKULIMA WAKITAKIWA KUJITOKEZA KATIKA ZOEZI HILO.
Waziri wa kilimo, mifugo, uvuvi na unyunyiziaji maji mashamba kaunti ya Pokot magharibi Wilfred Longronyang ametoa wito kwa wakulima kujitokeza ili kusajiliwa katika zoezi la usajili wa wakulima ambalo linatarajiwa […]
-
SERIKALI YA POKOT MAGHARIBI YAENDELEZA MIKAKATI YA KUIMARISHA SEKTA YA UTALII.
Serikali ya kaunti ya Pokot magharibi imeendelea kuweka mikakati ya kuhakikisha kwamba inapata mapato kupitia utalii. Akizungumza eneo la Keringet wakati wa kuadhimisha siku ya utalii duniani, waziri wa utalii, […]
-
KAUNTI YA POKOT MAGHARIBI YAPOKEA SHEHENA YA VIFAA VYA MATIBABU.
Huduma za afya zinatarajiwa kuimarika kaunti ya Pokot magharibi baada wizara ya afya kaunti hiyo kupokea shehena ya kwanza ya vifaa vya matibabu vitakavyotumika na wahudumu wa afya maeneo ya […]
-
JAMII YATAKIWA KUKUMBATIA MBINU ZA UPANGAJI UZAZI ILI KUKUZA KIZAZI CHENYE AFYA.
Ipo haja ya jamii kukumbatia mbinu za upangaji uzazi ili kukuza kizazi chenye afya hasa hali ya maisha inapoendelea kubadilika kila kuchao kufuatia kupanda kwa gharama ya maisha. Akizungumza eneo […]
-
IDARA YA POLISI POKOT MAGHARIBI YAAPA KUKABILIANA NA WALANGUZI WA RISASI.
Kamanda wa polisi kaunti ya Pokot magharibi Peter Katam amewahakikishia wakazi wa kaunti hiyo kwamba idara ya polisi imeweka mikakati ya kuhakikisha wafanyibiashara waneoendeleza biashara haramu ya uuzaji risasi wanakabiliwa. […]
-
RISASI 749 ZANASWA MARICH ZIKISAFIRISHWA KUELEKEA LAMI NYEUSI POKOT MAGHARIBI.
Maafisa wa polisi katika kizuizi cha polisi cha marich kaunti ya Pokot magharibi wamenasa risasi 749 ambazo zilikuwa zinasafirishwa na mhudumu wa boda boda. Akithibitisha kisa hicho kamanda wa polisi […]
-
SERIKALI POKOT MAGHARIBI YAENDELEZA MIKAKATI YA KUHAKIKISHA USALAMA WA WANANCHI MVUA YA ELNINO INAPOTARAJIWA.
Serikali ya kaunti ya Pokot magharibi imeendelea kuweka mikakati ya kuzuia athari zozote ambazo huenda zikashuhudiwa wakati wa mvua ya elnino ambayo inatarajiwa kushuhudiwa maeneo mbali mbali ya nchi kuanzia […]
-
RAIS ASUTWA KWA UTENDAKAZI DUNI MWAKA MMOJA TANGU ALIPOINGIA AFISINI.
Baadhi ya wananchi katika kaunti ya Pokot magharibi wameendelelea kumsuta rais William Ruto kwa kile wamedai kwamba kuendelea kutoa ahadi tele kwa wakenya kila eneo analozuru hali hatekelezi ahadi hizo. […]
Top News










