News
-
WAKAZI WA MAENEO YALIYOATHIRIKA NA UTOVU WA USALAMA WATAKIWA KUWAREJESHA WANAO SHULENI.
Naibu gavana wa kaunti ya Pokot magharibi Robert Komole amewataka wazazi wa wanafunzi katika shule ambazo zilifungwa kufuatia utovu wa usalama maeneo ya mipakani kuhakikisha kwamba wanao wanaenda shuleni shughuli […]
-
ENEO LA STATE LODGE KUFUNGULIWA ENEO LA TURKWEL POKOT MAGHARIBI.
Wizara ya usalama nchini kwa ushirikiano na mamlaka ya maendeleo eneo la Kerio Valley KVDA inaendeleza mikakati ya kufufua eneo litakalotumika na rais kuendeleza shughuli zake maarufu state Lodge eneo […]
-
WALIOHAMA KUTOKANA NA UTOVU WA USALAMA MIPAKANI PA KAUNTI YA POKOT MAGHARIBI WAHIMIZWA KUREJEA.
Mwakilishi wadi ya Siyoi kaunti ya Pokot magharibi Esther Serem ametoa wito kwa wakazi waliohama makwao kutokana na utovu wa usalama hasa maeneo ya mipakani pa kaunti ya Pokot magharibi, […]
-
KAMATI YA ELIMU KATIKA BUNGE LA POKOT MAGHARIBI YATOA HAKIKISHO LA KUTOLEWA MAPEMA FEDHA ZA BASARI.
Kamati ya elimu katika bunge la kaunti ya Pokot magharibi imetoa hakikisho kwa wanafunzi na wazazi katika kaunti hiyo kwamba fedha za basari zitatolewa kabla ya tarehe 19 mwezi januari […]
-
LOCHAKAPONG ASUTA AFISI YA REREC KAUNTI YA POKOT MAGHARIBI KWA KUKUBALI KUTUMIKA KISIASA.
Mbunge wa Sigor kaunti ya Pokot magharibi Peter lochakapong sasa anataka afisi ya shirika la usambazaji umeme maeneo ya mashinani Rural Electrification and Renewable Energy Corporation (REREC) kufanyiwa uchunguzi kwa kile […]
-
KACHAPIN: NI WAKATI WA KUHAKIKISHA AHADI TULIZOTOA KWA WANANCHI WAKATI WA KAMPENI ZINATEKELEZWA.
Gavana wa kaunti ya Pokot magharibi Simon Kachapin ameendelea kutilia mkazo umuhimu wa maafisa wote wa serikali kutekeleza majukumu ambayo walikabidhiwa ili kuhakikisha kwamba wananchi wanafurahia matunda ya uamuzi waliofanya […]
-
SWALA LA USALAMA BONDE LA KERIO LATAWALA FAINALI ZA KOMBE LA MURKOMEN POKOT MAGHARIBI.
Waziri wa barabara na uchukuzi Kipchumba Murkomen amedokeza kuhusu mipango ya kuwafadhili wanafunzi 10 wanaojiunga na kidato cha kwanza katika kila jamii ambazo zinapakana kwenye bonde la kerio ambao watakuwa […]
-
UMASIKINI MIONGONI MWA KINA MAMA WATAJWA KUWA CHANZO CHA DHULUMA ZA KIJINSIA POKOT MAGHARIBI.
Umasikini miongoni mwa kina mama ni miongoni mwa maswala ambayo yametajwa kuwa vyanzo vikuu vya dhuluma za kijinsia katika jamii kaunti ya Pokot magharibi kwenye mafunzo ambayo yanatolewa kwa akina […]
-
SERIKALI YA POKOT MAGHARIBI YAENDELEZA MIKAKATI YA KUSHUGHULIKIA CHANGAMOTO ZINAZOWAKABILI WAFUGAJI.
Serikali ya kaunti ya Pokot magharibi kwa ushirikiano na shirika la GIZ inaandaa nakala ya mpango ambao utakuwa ukitumika katika uwekezaji hasa kwenye sekta ya mifugo na maswala ambayo yanapasa […]
-
WAKAZI WA KAPENGURIA WAHIMIZWA KUTUMA MAOMBI YA FEDHA ZA BASARI KUTOKA HAZINA YA CDF.
Wakazi wa eneo bunge la Kapenguria katika kaunti ya Pokot Magharibi wamehakikishiwa kwamba shughuli ya utoaji wa fedha za basari kutoka kwa hazina ya CDF itatekelezwa kwa uwazi. Katika taarifa […]
Top News










