News
-
WALIMU WAKUU WAONYWA DHIDI YA KUWATUMA NYUMBANI WANAFUNZI KUTAFUTA KARO.
Chama cha walimu wa shule za upili na vyuo vya kadri KUPPET tawi la Pokot magharibi kimetoa wito kwa walimu wakuu kutowatuma nyumbani wanafunzi kutafuta karo. Akizungumza afisini mwake katibu […]
-
WADAU WATAKIWA KUSHIRIKIANA KUKABILI UKEKETAJI POKOT MAGHARIBI.
Wito umetolewa kwa wadau katika kaunti ya Pokot magharibi kushirikiana na serikali ya gavana Simon Kachapin katika vita dhidi ya utamaduni wa ukeketaji ambao umetajwa kuwa kizingiziti kikubwa kwa elimu […]
-
MOROTO ATAKA SERIKALI YA KAUNTI KUIMARISHA HOSPITALI ZA MAENEO YA MASHINANI.
Na Benson Aswani. Mbunge wa Kapenguria katika kaunti ya Pokot magharibi Samwel Moroto ametoa wito kwa serikali ya kaunti chini ya gavana Simon Kachapin kuhakikisha kwamba hospitali na vituo vya […]
-
VIONGOZI POKOT MAGHARIBI WAISUTA SERIKALI KWA KUWAHANGAISHA WAKAZI WA ARDHI YA CHEPCHOINA.
Na Emmanuel Oyasi. Baadhi ya viongozi katika kaunti ya Pokot magharibi wameisuta serikali ya Kenya kwanza kwa kutokuwa makini katika kushughulikia masaibu ambayo yanawakumba wakazi waliofurishwa katika ardhi yenye utata […]
-
MAAFISA WA NPR WATAKIWA KUKAZA KAMBA KATIKA VITA DHIDI YA UHALIFU MIPAKANI PA POKOT MAGHARIBI.
Na Benson Aswani. Afisa wa mipango maalum katika afisi ya gavana kaunti ya Pokot magharibi David Chepelion ametoa wito kwa maafisa wa akiba NPR wanaohudumu maeneo yanayokabiliwa na utovu wa […]
-
PKOSING ATAKIWA KUTANGAZA MSIMAMO WAKE WA KISIASA NA KUKOMA KUTAPATAPA.
Na Benson Aswani. Mbunge wa Sigor kaunti ya Pokot magharibi Peter Lochakapong anamtaka mwezake wa pokot kusini David Pkosing kutangaza rasmi msimamo wake wa kisiasa na kukoma kuwachanganya wakazi wa […]
-
WAKAZI WA MASOL POKOT MAGHARIBI WALALAMIKIA MAKALI YA NJAA.
Na Emmanuel Oyasi. Wakazi wa eneo la Masol Pokot ya kati kaunti ya Pokot magharibi wametoa wito kwa serikali kusambaza chakula cha msaada eneo hilo kutokana na hali kwamba wengi […]
-
VIONGOZI WA POKOT YA KATI WASHINIKIZA MAENDELEO KAMA NJIA MOJA YA KUKABILI UTOVU WA USALAMA.
Na Benson Aswani. Mbunge wa sigor katika kaunti ya Pokot magharibi Peter Lochakapong ametoa wito kwa wakazi wa eneo hilo hasa wanaoishi maeneo ya mipakani na kaunti ya Turkana kujitenga […]
-
IDARA YA USALAMA POKOT KUSINI YALENGA KUPIGA MARUFUKU BIASHARA YA POMBE NA MICHEZO YA ‘POOL’.
Na Emmanuel Oyasi. Idara ya usalama eneo la pokot kusini kaunti ya Pokot magharibi inaendeleza vikao vya kutafuta maoni ya wakazi wa eneo hilo kuhusu biashara ya pombe na michezo […]
-
MAMLAKA YA MAJANGA YAIKABIDHI SHULE YA UPILI YA KIWAWA MAGODORO 30 BAADA YA BWENI LA SHULE HIYO KUTEKETEA.
Na Benson Aswani. Maafisa kutoka idara inayoshughulikia majanga katika kaunti ya Pokot magharibi wamezuru shule ya upili ya wavulana ya Kiwawa eneo la Kacheliba kutathmini uharibifu uliosababishwa na moto ambao […]
Top News