Author: Charles Adika
-
POKOT MAGHARIBI YATAJWA MIONGONI MWA KAUNTI ZILIZOSAJILI WANAFUNZI WA UMRI MDOGO WALIOFANYA MTIHANI WA KCPE
Kaunti ya Pokot magharibi imekuwa miongoni mwa kaunti tano ambazo ziliwasajili wanafunzi wa KCPE wenye umri wa chini ya miaka kumi na miwili na kuwa na idadi ya watahiniwa mia […]
-
SHULE YA ST MARYS YATOA MWANAFUNZI BORA WA KCPE KUFIKIA SASA KAUNTI YA POKOT MAGHARIBI
Walimu wazazi na wanafunzi wa shule mbali mbali kaunti hii ya Pokot magharibi wameendelea kusherehekea matokeo bora ya mtihani wa kitaifa kwa darasa la nane KCPE yaliyotangazwa rasmi hiyo jana […]
-
TRANS NZOIA YANUFAIKA NA UFADHILI CHINI YA MPANGO WA GEAP.
Kaunti Trans-nzoia ni miongoni mwa kaunti 12 zitakazo faidi ufadhili wa kifedha wa kima cha zaidi ya shilingi bilioni 1.2 kutoka kwa serikali ya Denmark chini ya mradi wa Green […]
-
SERIKALI YA TRANS NZOIA YASHUTUMIWA KWA KUWATELEKEZA WAHUDUMU WA AFYA
Mwenyekiti wa wafanyakazi kaunti ya Trans-nzoia Samuel Kiboi ameshutumu vikali serikali ya kaunti hiyo kupitia wizara ya afya kwa kile ametaja kukosa kuwalipa marupurupu ya kufanyia kazi katika mazingira magumu […]
-
WAATHIRIWA WA KIFUA KIKUU WATAKIWA KUFANYA VIPIMO VYA KILA MARA.
Wito umetolewa kwa wakenya kufanya mazoea kufika katika vituo vya afya ili kupimwa kutokana na ugonjwa wa kifua kikuu.Ni wito ambao umetolewa na mtaalam wa magonjwa ya mapafu katika hospitali […]
-
NRT YAPEWA IDHINI YA KUNDELEZA SHUGHULI ZAKE KAUNTI YA POKOT MAGHARIBI
Wakfu wa umiliki wa wanyamapori NRT utaendelea na shughuli zake mbali mbali katika maeneo mbali mbali ya kaunti hii ya Pokot magharibi baada ya uamuzi wa mahakama kuwapa idhini hiyo […]
-
PILKA PILKA
Ungana naye Angela Cherono pamoja na Marango Kizito Macho kwanzia saa nne asubuhi hadi saa nane mchana.
-
-
VIONGOZI WA MAKANISA TRANS NZOIA WALALAMIKIA KUPUNGUA MATOLEO KANISANI
Viongozi wa makanisa yaliyobomolewa kwenya kipande cha ardhi kinachomnilikiwa na shirika la reli mjini Kitale kaunti ya Trans nzoia sasa wanasema wanapitia wakati mgumu baada ya kupungua matoleo kanisani.Wakiongozwa na […]
-
WAKAZI WA KACHELIBA WALALAMIKIA UKOSEFU WA UMEME
Wakazi wa soko la Kacheliba kaunti ya Pokot magharibi wanalalamikia ukosefu wa nguvu za umeme wakisema wamekuwa kwenye giza kwa takriban wiki tatu sasa.Wakazi hao sasa wanaitaka wizara ya kawi […]
Top News