Author: Charles Adika
-
-
‘WEZI WA MAJI’ WAKAMATWA TRANS NZOIA.
Washukiwa kumi na sita akiwemo mshukiwa mkuu anayeunganisha maji kinyume cha sheria katika kaunti ya transnzoia wamekamatwa ikisemekana kwamba ni mafundi wa kibinafsi wanaolaumiwa kutokana na ongezeko la visa vya […]
-
KONTENA ZA BIASHARA MAKUTANO ZAELEKEA KUKAMILIKA.
Matayarisho ya kontena za kufanyia biashara mjini makutano katika kaunti hii ya Pokot magharibi yanaelekea kukamilika .Haya ni kwa mujibu wa afisa katika wizara ya biashara kaunti hii Lucy Lipale […]
-
UKEKETAJI NA NDOA ZA MAPEMA ZASALIA KIZUNGUMKUTI POKOT MAGHARIBI.
Licha ya juhudi za kukabili visa vya ukeketaji na ndoa za mapema katika kaunti hii ya Pokot magharibi imebainika visa hivi vingali kero miongoni mwa jamii.Hii ni baada msichana mmoja […]
-
SEKTA YA BODABODA YAPUNGUZIWA USHURU POKOT MAGHARIBI.
Wahudumu wa boda boda katika kaunti hii ya Pokot magharibi wamepata afueni baada ya serikali ya kaunti kuwapunguzia ushuru wanaolipa kutoka shilingi 300 hadi shilingi 200.Akitoa tangazo hilo gavana John […]
-
-
-
-
WAKUU WA SHULE TRANS NZOIA WASHUTUMIWA KWA KUPANDISHA VIWANGO VYA KARO.
Viongozi kutoka Kaunti ya Trans-Nzoia wamelalamikia hatua ya walimu wakuu kwenye shule mbalimbali Kaunti hiyo kuitisha karo ya juu na mallipo mengine ya ziada kwa wazazi wanapowapeleka wanao kujiunga na […]
Top News