Author: Charles Adika
-
BUNGE LA POKOT MAGHARIBI LAJITETEA KUHUSU HATUA YA KUMTIMUA SPIKA.
Baadhi ya waakilishi wadi kaunti hii ya pokot magharibi hasa waliochangia hoja ya kumbandua spika wa bunge la kaunti hii Catherine Mukenyang wamevunja kimya chao kutokana na shutuma ambazo zinaelekezwa […]
-
MAHAKAMA YAWEKA ZUIO LA MUDA KUTIMULIWA MUKENYANG.
Spika wa bunge la kaunti hii ya Pokot magharibi Catherine Mukenyang amepata afueni ya muda baada ya mahakama kuu ya Eldoret kusitisha kwa muda uamuzi wa bunge hilo kumwondoa mamlakani.Jaji […]
-
-
-
-
-
-
-
VIONGOZI TRANS NZOIA WATAKIWA KUWATAFUTA WAHISANI KUIMARISHA KAUNTI KIUCHUMI.
Viongozi katika kaunti ya Trans nzoia wametakiwa kuwatafuta wahisani kuwekeza katika sekta mbali mbali kaunti hiyo kama njia moja ya kupiga jeki kilimo na uchumi wa eneo hilo badala ya […]
-
WAZAZI WALALAMIKIA MTAALA WA UMILISI CBC KWA GHALI.
Chama cha wanasheria LSK kinapotarajiwa kufika mahakamani kupinga utekelezwaji wa mtaala wa elimu CBC, baadhi ya wazazi katika kaunti hii ya pokot magharibi wameendelea kulalamikia mtaala huo ambao wamedai ni […]
Top News









