Author: Charles Adika
-
WAKAAZI WANAMTAKA RAIS WILIAM RUTO KUTEKELEZA YALE ALIYOAHIDI
Wakaazi kutoka kaunti ya Trans nzoia wameendelea kusherehekea kuapishwa kwa Rais Wiliam Ruto wakimuomba kushughulikia changamoto zinazokumba haswa kupanda kwa Gharama ya Maisha.Wakaazi hao wameendeleza sherehe zao wakifurahia haswa baada […]
-
WAZAZI WAUNGA MKONO HATUA YA KUFANYIWA UKAGUZA MTAALA WA UMILISI CBC
Chama cha kitaifa cha Wazazi katika kaunti ya Transnzoia kimeunga mkono mpango wa Rais Wiliam Ruto kuwashirikisha washikadau katika sekta ya Elimu kutathmini upya mtalaa wa umilisi cbc.Mwenyekiti wa chama […]
-
WAKAZI POKOT MAGHARIBI WAHIMIZWA KUENDELEA KUJITOKEZA KUPOKEA CHANJO DHIDI YA CORONA.
Serikali ya kaunti ya Pokot Magharibi kupitia wizara ya Afya, idara ya chanjo na maambukizi iliandaa warsha ya siku moja na washikadau mbali mbali kubuni njia na mikakati ya kuwarai […]
Top News







