Author: Charles Adika
-
RIPOTI YA MCHUJO WA MAWAZIRI TRANS NZOIA YATARAJIWA BUNGENI.
Kamati ya uteuzi katika kaunti ya Trans nzoia inatarajiwa kuwasilisha ripoti yake bungeni baada kukamilisha kuandaa ripoti ya mawaziri wateule iliyowahoji juma lililopita.Baada ya kuiwasilisha ripoti hiyo wawakilishi wadi thelathini […]
-
OCPD ANAYEONDOKA AMTAKA MRITHI WAKE KUENDELEZA USHIRIKIANO MWEMA POKOT YA KATI.
OCPD wa Sigor kaunti hii ya Pokot magharibi anayeondoka Bamford Surwa amemtaka anayechukua nafasi yake pamoja na maafisa wengine wa usalama eneo hilo kuendeleza ushirikiano mwema alioanzisha baina ya maafisa […]
Top News







