Author: Charles Adika
-
UTEUZI WA JOEL ARUMONYANG KAMA KATIBU WAENDELEA KUVUTIA HISIA POKOT MAGHARIBI.
Gavana wa kaunti hii ya Pokot magharibi Simon Kachapin amepongeza uteuzi wa rais William Ruto wa makatibu katika wizara mbali mbali za serikali yake.Kachapin aidha alipongeza uteuzi wa Joel Arumonyang […]
-
MIITO YA MISAADA YATOLEWA HUKU BAA LA NJAA LIKIENDELEA KUKITA MIZIZI TURKANA.
Mwenyekiti wa jamii ya Turkana kaunti ya Trans nzoia Jackson Eragai amewataka wanasiasa, wafanyibiashara na watu wenye nia njema kutoa msaada wa chakula kwa wakazi wa kaunti ya Turkana ili […]
-
CHANGAMOTO YATOLEWA KWA VIJANA KUHUSIKA KATIKA KUKABILI MABADILIKO YA TABIA NCHI.
Vijana kutoka wadi ya Chepareria eneo bunge la Pokot kusini wametakiwa kukumbatia upanzi wa miti na kuelimisha jamii kupitia mitandao kufuatia ongezeko la ukame unaoshuhudiwa nchini.Mshirikishi wa shirika la Green […]
Top News









