Author: Charles Adika
-
WAKULIMA WA ZAO LA MAHINDI WASHABIKIA HATUA YA SERIKALI KUSITISHA MIPANGO YA KUAGIZA MAHINDI KUTOKA NJE YA NCHI.
Wakulima na viongozi kaskazini mwa bonde la ufa wamesifia hatua ya serikali kusitisha uagizaji wa mahindi kutoka mataifa ya kigeni wakisema hatua hiyo itawapa fursa ya kuuza mahindi yao kwa […]
-
WADAU WAELEZEA WASI WASI WA ONGEZEKO LA MAAMBUKIZI YA HIV MIONGONI MWA VIJANA POKOT MAGHARIBI.
Huenda maambukizi ya virusi vya ukimwi katika kaunti ya Pokot magharibi vikawa juu kutokana na hali kwamba wengi wa wakazi wanaougua virusi hivyo hawajitokezi kupimwa kufahamu hali yao. Akizungumza katika […]
-
HALI YA USALAMA MIPAKANI YAZIDI KUWAKEKETA MAINI VIONGOZI POKOT MAGHARIBI.
Aliyekuwa mwakilishi wadi ya Masol eneo bunge la Sigor katika kaunti ya Pokot magharibi Ariong’o Loporna amezitaka asasi za usalama kuimarisha usalama maeneo ya mipakani pa kaunti hii ya Pokot […]
-
WAKAZI POKOT KUSINI WALALAMIKIA HALI MBOVU YA BARABARA.
Kama njia moja ya kuimarisha uchumi wa wakazi wa wadi ya Chepareria Eneo bunge la Pokot Kusini kaunti ya Pokot magharibi, kuna haja ya Serikali kuu kukarabati nyingi za barabara […]
Top News









