Author: Charles Adika
-
MWANAMME MMOJA ANASAKWA BAADA YA KUOA MSICHANA WA MIAKA KUMI NA TATU KACHELIBA POKOT MAGHARIBI
Mwanamme mwenye umri wa makamu anatafutwa na Polisi Katika Eneo la Kacheliba baada ya kuoa msichana mwenye umri wa miaka kumi na mitatu katika Kijiji cha Koroa kwenye Wadi ya […]
-
WANANCHI WA LOKICHAR NA MASOL WANUFAIKA NA CHAKULA KUTOKA KWA BENKI YA KCB KAUNTI YA POKOT MAGHARIBI
Benki ya KCB tawi la Pokot magharibi kupitia wakfu wa KCB foundation imezindua mpango wa siku mbili wa kutoa chakula cha msaada kwa wakazi wa lokesheni za Lokichar eneo la […]
Top News







