Author: Charles Adika
-
WAZAZI POKOT MAGHARIBI WATAKIWA KUTILIA MAANANI ELIMU KUWA SULUHU KWA UTOVU WA USALAMA.
Wito umetolewa kwa wakazi wa kaunti ya Pokot magharibi kukumbatia elimu kwa ajili ya wanao na kuhakikisha kwamba wanasalia shuleni kwa kuwajibikia mahitaji yote kwa manufaa yao ya siku za […]
-
WAAKILISHI WADI POKOT MAGHARIBI WAKOSOA OPARESHENI YA KIUSALAMA.
Waakilishi wadi katika kaunti ya Pokot magharibi wamelalamikia jinsi serikali inavyoshughulikia swala la utovu wa usalama katika kaunti za bonde la Kerio, wakisema kwamba ipo njia bora na salama inayoweza […]
-
PKOSING AKAMATWA NA KUHOJIWA NA DCI KUHUSU UTOVU WA USALAMA KERIO VALLEY.
Mbunge wa Pokot kusini David Pkosing alikamatwa alhamisi jioni na kuhojiwa kwa muda na idara ya upelelezi DCI kabla ya kuachiliwa huru kufuatia madai ya kutoa semi zinazodaiwa kuchochea uhasama […]
-
WAKAZI MASOL WALALAMIKA KUATHIRIKA NA AMRI YA KUTOKUWA NJE.
Aliyekuwa mwakilishi wadi ya Masol eneo bunge la Sigor katika kaunti ya Pokot magharibi Ariong’o Loporna amelalamikia utekelezwaji wa amri ya kutokuwa nje kuanzia saa kumi na mbili jioni hadi […]
Top News








