Author: Charles Adika
-
WADAU MBALI MBALI WAENDELEA KUPINGA UAMUZI WA MAHAKAMA KUHUSU HARAKATI ZA LGBTQ NCHINI.
Viongozi mbali mbali wa kidini wameendelea kukosoa uamuzi wa mahakama ya upeo wa kuwaruhusu watu wanaoendeleza mahusiano ya jinsia moja kubuni mashirika ya kutetea maslahi yao. Wa hivi punde kuzungumzia […]
-
KUKITHIRI MATUMIZI YA DAWA ZA KULEVYA NA POMBE KWAIBUA HOFU KACHELIBA.
Wakazi wa Kacheliba katika kaunti ya Pokot magharibi wameendelea kulalamikia kukithiri matumizi ya mihadarati na pombe miongoni mwa vijana. Wakiongozwa na kiongozi wa vijana eneo hilo Job Wanjala wakazi hao […]
-
MASOMO KATIKA SHULE ZA JUNIOR SECONDARY YAKABILIWA NA CHANGAMOTO.
Wadau katika sekta ya elimu kaunti ya Pokot magharibi wameendelea kulalamikia changamoto ambazo zinakabili utekelezwaji wa mtaala mpya wa elimu CBC. Mwalimu mkuu wa shule ya msingi ya St Brendan […]
-
VIONGOZI WATAKA KUWEKWA MIKAKATI YA KUKABILI HALI YA UKAME KATIKA KAUNTI ZA WAFUGAJI
Baadhi ya viongozi katika kaunti ya Pokot magharibi sasa wanatoa changamoto kwa serikali ya rais William Ruto kuweka mikakati ya kuhakikisha kwamba swala la ukame linakabiliwa hasa katika kaunti za […]
Top News








