Author: Charles Adika
-
TAMADUNI ZATAJWA KUWA KICHOCHEO CHA MIMBA ZA MAPEMA MIONGONI MWA WATOTO POKOT MAGHARIBI.
Mimba za mapema miongoni mwa watoto katika kaunti ya Pokot magharibi zinachangiwa na hali kwamba jamii haijakumbatia swala la kuzungumzia wazi maswala ya ngono kwa watoto kutokana na hali inayotajwa […]
-
WAZAZI WATAKIWA KUKUMBATIA ELIMU KWA WANAO KAMA NJIA MOJA YA KUKABILI WIZI WA MIFUGO.
Wito umetolewa kwa wazazi katika kaunti ya Pokot magharibi kuchukulia kwa uzito swala la kuhakikisha kwamba watoto wao wanapata elimu kama njia moja ya kukabili tatizo la utovu wa usalama […]
-
SERIKALI YAENDELEA KULAUMIWA KUFUATIA KUKITHIRI UTOVU WA USALAMA MPAKANI PA POKOT MAGHARIBI NA TURKANA.
Wakazi wa kaunti ya Pokot magharibi wameendeleza shutuma dhidi ya mauaji ya mvulana mmoja mwenye umri wa miaka 18 katika kijiji cha Ompolion wadi ya Kasei wakati alipokuwa akilisha mifugo. […]
-
MIITO YAENDELEA KUTOLEWA KWA WAKAZI MPAKANI PA POKOT MAGHARIBI KUDUMISHA AMANI.
Waziri wa afya kaunti ya Pokot Magharibi Cleah Parkleah ametoa wito kwa wakazi wa kaunti hiyo na kaunti jirani ya Turkana hasa eneo la mpakani pa kaunti hizi mbili kuendelea […]
Top News








