Author: Charles Adika
-
UFUGAJI WA KUHAMAHAMA WATAJWA KUWA KIKWAZO KWA SHUGHULI ZA ELIMU MAENEO KAME.
Wadau katika sekta ya elimu maeneo yanayokumbwa na ukame katika kaunti ya Pokot magharibi wametoa wito kwa serikali kuweka mikakati itakayohakikisha kwamba wazazi maeneo hayo hawahami ili kutafuta lishe kwa […]
-
VIONGOZI WA KISIASA WALAUMIWA KWA KUKITHIRI UTOVU WA USALAMA MIPAKANI PA POKOT MAGHARIBI NA TURKANA.
Mwakilishi wadi ya Seker Jane Mengich amewalaumu baadhi ya viongozi wa kisiasa kwa hali ya utovu wa usalama ambayo imekuwa ikishuhudiwa mipakani pa kaunti ya Pokot magharibi na kaunti jirani […]
-
UKEKETAJI NA NDOA ZA MAPEMA ZASALIA CHANGAMOTO KWA MTOTO WA KIKE POKOT MAGHARIBI.
Swala la ukeketaji na ndoa za mapema limesalia changamoto kuu kwa mtoto wa kike katika kaunti ya Pokot magharibi. Akizungumza eneo la Kamula wadi ya Kiwawa, mkurugenzi wa idara ya […]
-
MASHAMBULIZI YAENDELEA KUSHUHUDIWA TURKWEL LICHA YA IDARA YA USALAMA KUWAHAKIKISHIA WAKAZI USALAMA.
Watu wawili wakazi wa eneo la Turkwel katika kaunti ya Pokot magharibi wanauguza majeraha ya risasi katika hospitali ya Kapenguria baada kuvamiwa na watu wanaokisiwa kutoka kaunti jirani. Tukio hili […]
Top News







