Author: Charles Adika
-
SHULE YA MSINGI YA KOPOCH YANUFAIKA NA CHAKULA KUTOKA AFISI YA MKEWE RAIS.
Shule ya msingi ya Kopoch eneo bunge la kapenguria kaunti ya Pokot magharibi imepokea chakula kutoka kwa afisi ya mkewe rais Rachael Ruto chini ya mpango wa mama doing good […]
-
ZOEZI LA KUWASAJILI WAKULIMA POKOT MAGHARIBI LATARAJIWA HUKU WAKULIMA WAKITAKIWA KUJITOKEZA KATIKA ZOEZI HILO.
Waziri wa kilimo, mifugo, uvuvi na unyunyiziaji maji mashamba kaunti ya Pokot magharibi Wilfred Longronyang ametoa wito kwa wakulima kujitokeza ili kusajiliwa katika zoezi la usajili wa wakulima ambalo linatarajiwa […]
-
SERIKALI YA POKOT MAGHARIBI YAENDELEZA MIKAKATI YA KUIMARISHA SEKTA YA UTALII.
Serikali ya kaunti ya Pokot magharibi imeendelea kuweka mikakati ya kuhakikisha kwamba inapata mapato kupitia utalii. Akizungumza eneo la Keringet wakati wa kuadhimisha siku ya utalii duniani, waziri wa utalii, […]
-
KAUNTI YA POKOT MAGHARIBI YAPOKEA SHEHENA YA VIFAA VYA MATIBABU.
Huduma za afya zinatarajiwa kuimarika kaunti ya Pokot magharibi baada wizara ya afya kaunti hiyo kupokea shehena ya kwanza ya vifaa vya matibabu vitakavyotumika na wahudumu wa afya maeneo ya […]
Top News








