Author: Charles Adika
-
SHINIKIZO ZA KUBUNIWA KAUNTI MPYA YA POKOT MASHARIKI ZAENDELEA KUSHIKA KASI.
Shinikizo zimeendelea kutolewa na wakazi wa jamii ya Pokot ya kubuniwa kaunti mpya ya pokot mashariki eneo la Tiati ili kuhakikisha kwamba jamii ya pokot inayoishi eneo hilo wanapata huduma […]
-
MLINZI WA KENGEN AUGUZA MAJERAHA KWA KUVAMIWA NA WAHALIFU LOROGON.
Mkazi mmoja wa kutoka eneo la Lorogon kaunti ya Pokot magharibi anauguza majeraha katika hospitali ya kapenguria baada ya kupigwa risasi na wavamizi wanaoshukiwa kutoka kaunti jirani jumanne usiku. Kulingana […]
-
WAKAZI WA JAMII YA POKOT ENEO LA TIATI WASHINIKIZA KUBUNIWA KAUNTI YAO.
Viongozi kutoka jamii ya Pokot kaunti ya Baringo wameunga mkono pendekezo la kuongezwa idadi ya kaunti nchini wakidai kwamba hali hiyo itapelekea huduma sawa kwa jamii zote. Wakizungmza eneo la […]
-
WAZAZI WATAKIWA KUWA KARIBU NA WANAO SHULE ZINAPOTARAJIWA KUFUNGWA .
Muhula wa tatu unapokaribia kukamilika miito imeanza kutolewa kwa wazazi katika kaunti ya Pokot magharibi kuwatunza vyema wanao katika muda wa takriban miezi miwili watakayokuwa nyumbani baada ya shule kufungwa. […]
Top News








