Author: Charles Adika
-
BOWEN: OPARESHENI YA USALAMA IMEFANIKIWA BONDE LA KERIO.
Idara ya usalama eneo la pokot kusini katika kaunti ya Pokot magharibi imeelezea kufanikiwa oparesheni ya kiusalama ambayo inaendeshwa na maafisa wa polisi kwa ushirikiano na wale wa KDF hasa […]
-
MULEHI: USHIRIKIANO WA IDARA MBALI MBALI UNAHITAJIKA KATIKA KUSHUGHULIKIA MAJANGA KWENYE SERIKALI ZA KAUNTI.
Wadau kutoka sekta mbali mbali katika serikali za kaunti pamoja na vyombo vya habari wamekongamana mjini Kericho kupokea mafunzo kuhusiana na jinsi ya kuripoti na kushughulikia majanga yanayotokana na hali […]
-
LOCHAKAPONG AAHIDI KURAHISISHA SHUGHULI ZA WAKAZI WA SIGOR KUPITIA UKARABATI WA BARABARA.
Mbunge wa Sigor Peter Lochakapong amesema kwamba atahakikisha barabara zote katika eneo bunge lake ambazo haziko katika hali nzuri zinakarabatiwa ili kurahisisha shughuli za uchukuzi kwa wakazi wa eneo hilo. […]
Top News







