Author: Charles Adika
-
MIKAKATI YAENDELEZWA KUDUMISHA AMANI BAINA YA JAMII ZA POKOT, SEBEI NA KARAMOJONG, UGANDA.
Hali ya utulivu inaendelea kushuhudiwa baina ya jamii za pokot, sebei na karamojong zinazoishi katika taifa jirani la Uganda, kufuatia mikakati ya amani ambayo inaendelea kuwekwa na uongozi wa taifa […]
-
KAUNTI KAME NCHINI ZATARAJIWA KUNUFAIKA NA MIRADI ZAIDI KUTOKA SERIKALI YA USWIZI.
Serikali ya uswizi itaendelea kushirikiana na serikali za kaunti kame nchini kupitia miradi mbali mbali ili kukabili hali ngumu ambayo wakazi hukumbana nayo kutokana na hali ya ukame ambao unashuhudiwa […]
-
ZAIDI YA WANAFUNZI ALFU 7 WAREJESHWA SHULENI POKOT MAGHARIBI KUFUATIA USHIRIKIANO KATI YA IDARA YA ELIMU NA MASHIRIKA YA KIJAMII.
Zaidi ya wanafunzi alfu 7 ambao walikuwa wameacha masomo wamerejeshwa shuleni kufuatia harakati za kuwarejesha shuleni wanafunzi hao, ambazo zinaendelezwa na idara ya elimu kwa ushirikiano na mashirika mbali mbali […]
Top News








