Author: Charles Adika
-
UKEKETAJI NA NDOA ZA MAPEMA ZASALIA CHANGAMOTO KWA MTOTO WA KIKE POKOT MAGHARIBI.
Swala la ukeketaji na ndoa za mapema limesalia changamoto kuu kwa mtoto wa kike katika kaunti ya Pokot magharibi. Akizungumza eneo la Kamula wadi ya Kiwawa, mkurugenzi wa idara ya […]
-
MASHAMBULIZI YAENDELEA KUSHUHUDIWA TURKWEL LICHA YA IDARA YA USALAMA KUWAHAKIKISHIA WAKAZI USALAMA.
Watu wawili wakazi wa eneo la Turkwel katika kaunti ya Pokot magharibi wanauguza majeraha ya risasi katika hospitali ya Kapenguria baada kuvamiwa na watu wanaokisiwa kutoka kaunti jirani. Tukio hili […]
-
WAMILIKI WA SILAHA HARAMU KAUNTI YA POKOT MAGHARIBI WAPEWA MAKATAA YA SIKU SABA KUZISALIMISHA.
Zaidi ya bunduki 60 zimerejeshwa katika oparesheni ya kiusalama ambayo inaendelezwa na maafisa wa usalama maeneo ya mipakani pa kaunti ya Pokot magharibi na kaunti jirani ikiwemo Turkana, Elgeyo Marakwet […]
Top News







