Author: Charles Adika
-
WATAHINIWA WA MITIHANI YA KITAIFA POKOT MAGHARIBI WAHAKIKISHIWA USALAMA WA KUTOSHA KATIKA KIPINDI HICHO CHA MITIHANI.
Mitihani ya kitaifa kwa kidato cha nne KCSE, darasa la Nane KCPE na gredi ya sita KPSEA inapotarajiwa kuanza rasmi jumatatu wiki ijayo, kamishina wa kaunti ya Pokot magharibi Apolo […]
-
LONYANGAPUO AWASUTA VIONGOZI WANAOENDELEZA KAMPENI ZA UCHAGUZI MKUU WA MWAKA 2027.
Aliyekuwa gavana wa kaunti ya Pokot magharibi John Lonyangapuo amelalamikia hatua ya baadhi ya viongozi ambao alisema kwamba wameanza kuendeleza kampeni za uchaguzi mkuu wa mwaka 2027 mwaka mmoja tu […]
-
WAKAZI SIGOR WATAKIWA KUTOKUBALI KUHADAIWA NA VIONGOZI WANAOLENGA KULETA UHASAMA MIONGONI MWAO.
Mbunge wa Sigor katika kaunti ya Pokot magharibi Peter Lochakapong amewasuta baadhi ya viongozi wa kisiasa kaunti hiyo ambao alidai kwamba wanaeneza propaganda ambazo huenda zikachochea uhasama miongoni mwa wananchi. […]
Top News








