Author: Charles Adika
-
SHINIKIZO ZA KUBAINISHWA MIPAKA YA KAUNTI ZA POKOT MAGHARIBI NA TURKANA ZAENDELEA KUTOLEWA.
Viongozi wa kisiasa katika kaunti ya Pokot magharibi wameendelea kutoa wito kwa serikali kuendesha zoezi la kubaini mipaka baina ya kaunti hiyo na kaunti jirani ya Turkana. Wa hivi punde […]
-
KINA MAMA WATAKIWA KUJIHUSISHA NA KILIMO NA KUTOWATEGEMEA ZAIDI WAUME ZAO KWA KILA JAMBO.
Kina mama katika kaunti ya Pokot magharibi wametakiwa kujihusisha na swala la kilimo cha ufugaji ili waweze kujikimu kimaisha na kutotegemea zaidi waume zao kwa kila jambo. Akizungumza eneo la […]
-
UFUGAJI WA KUHAMAHAMA WATAJWA KUWA KIKWAZO KWA SHUGHULI ZA ELIMU MAENEO KAME.
Wadau katika sekta ya elimu maeneo yanayokumbwa na ukame katika kaunti ya Pokot magharibi wametoa wito kwa serikali kuweka mikakati itakayohakikisha kwamba wazazi maeneo hayo hawahami ili kutafuta lishe kwa […]
-
VIONGOZI WA KISIASA WALAUMIWA KWA KUKITHIRI UTOVU WA USALAMA MIPAKANI PA POKOT MAGHARIBI NA TURKANA.
Mwakilishi wadi ya Seker Jane Mengich amewalaumu baadhi ya viongozi wa kisiasa kwa hali ya utovu wa usalama ambayo imekuwa ikishuhudiwa mipakani pa kaunti ya Pokot magharibi na kaunti jirani […]
Top News








