Tag: West Pokot
- 
		Kachapin apongeza juhudi za viongozi waliopigania ugatuziNa Benson Aswani,Gavana wa kaunti ya Pokot magharibi Simon Kachapin amepongeza mashujaa anaosema walipigania ukombozi wa pili wa taifa, hali iliyopelekea kuwepo serikali za magatuzi ambazo zimeleta manufaa makubwa kwa […] 
- 
		Idara ya usajili yapelekea huduma ya vitambulisho mashinani Pokot MagharibiNa Angela Cherono,Idara ya usajili wa watu nchini inaendeleza zoezi la kuwasajili wakazi maeneo ya mashinani katika kaunti za maeneo kame nchini ambao wametimu umri wa kupata vitambulisho vya kitaifa […] 
- 
		Viongozi waendelea kutuma risala za rambi rambi kufuatia kifo cha Raila OdingaNa Benson Aswani,Viongozi mbali mbali nchini wameendelea kuomboleza kifo cha aliyekuwa waziri mkuu Raila Odinga ambaye aliaga dunia mapema jana akiwa nchini India. Gavana wa kaunti ya Pokot Magharibi Simon […] 
- 
		Viongozi waelezea haja ya kudhibitiwa shughuli ya uchimbaji madini MasolNa Benson Aswani,Mbunge wa Sigor kaunti ya Pokot magharibi Peter Lochakapong ametaka shughuli ya uchimbaji madini eneo la Masol Kudhibitiwa. Akizungumza baada ya kikao cha kubuni mikakati ya kuweka kamati […] 
- 
		Shule ya wavulana ya Kapenguria yapandishwa hadhi na kuwa ya kitaifaNa Benson Aswani,Walimu na wazazi wa shule ya upili ya wavulana ya Kapenguria kaunti ya Pokot magharibi wamepongeza hatua ya kupandishwa hadhi shule hiyo kutoka kiwango cha extra county hadi […] 
- 
		Mpango wa ‘Nyota’ wakosa msisimko uliotarajiwaNa Benson Aswani,Idadi ndogo sana ya vijana walijitokeza katika hafla ya uhamasisho kuhusu mpango wa kuwawezesha vijana kiuchumi wa Nyota ambao umehasisiwa na rais William Ruto kwa msaada wa benki […] 
- 
		Wakulima watakiwa kununua dawa za mimea kutoka kwenye maduka yaliyoidhinishwaNa Benson Aswani,Wakulima katika kaunti ya Pokot magharibi wametakiwa kuwa makini wanaponunua dawa za mimea na kuhakikisha kwamba wananunua kutoka kwenye maduka ambayo yameidhinishwa na bodi ya bidhaa za kudhibiti […] 
- 
		Wakazi wa kambi karayi waonywa dhidi ya kukaribia machimbo ya dhahabu yaliyotelekezwaNa Emmanuel Oyasi,Wakazi eneo la Kambi Karayi na maeneo mengine ya kuchimba madini kaunti ya Pokot magharibi wametakiwa kutoendeleza shughuli ya uchumbaji madini katika machimbo ambayo yametelekezwa. Akizungumza ijumaa siku […] 
- 
		Chanjo ya HPV yazinduliwa wazazi wakihimizwa kuhakikisha wanao wanapewa chanjo hiyoNa Benson Aswani,Kundi la wake wa magavana nchini limetoa wito kwa wananchi kukumbatia chanjo ya kuzuia saratani ya kizazi HPV ambayo imezinduliwa rasmi na kundi hilo la wake wa magavana […] 
Top News










