Tag: West Pokot
-
Poghisio ataka kuimarishwa usalama mipakani, mitihani ya KCSE ikiendelea
Na Benson Aswani,Aliyekuwa seneta wa kaunti ya Pokot magharibi Samwel Poghisio ameendelea kutoa wito kwa wakazi wa maeneo ya mipakani pa kaunti hiyo na kaunti jirani ya Turkana ambako kumeshuhudiwa […]
-
Uchimbaji madini watajwa kuwa chanzo cha utovu wa usalama mipakani pa Pokot Magharibi na Turkana
Na Benson Aswani,Baadhi ya viongozi wa kaunti ya Pokot magharibi sasa wanadai kwamba shughuli ya uchimbaji madini hasa maeneo ya mipakani pa kaunti ya Pokot magharibi na kaunti jirani ya […]
-
Viongozi washutumu kuchipuka tena utovu wa usalama mipakani pa Pokot na Turkana
Na Benson Aswani,Viongozi kaunti ya Pokot magharibi wameendelea kushutumu visa vya mauaji ambavyo vimeshuhudiwa mipakani pa kaunti hiyo na kaunti jirani ya Turkana katika siku za hivi karibuni. Wa hivi […]
-
Viongozi watakiwa kujitenga na siasa na kuwahudumia wananchi
Na Benson Aswani,Gavana wa kaunti ya Pokot magharibi Simon Kachapin ametoa wito kwa viongozi kushirikiana katika kuhakikisha kwamba wakazi wa kaunti hii wanapokea huduma bora. Akizungumza katika hafla moja mjini […]
-
Viongozi Pokot magharibi walaani kuchipuka tena utovu wa usalama mpakani pa Pokot na Turkana
Na Benson Aswani,Gavana wa kaunti ya pokot magharibi simon kachapin amelaani mauaji ya watu watatu waliopigwa risasi katika kijiji cha Loperumoi, Morita–Rumos, mpakani pa kaunti hiyo na ile ya Turkana. […]
-
Owalo aongoza ukaguzi wa mradi wa maji wa Muruny Pokot magharibi
Na Benson Aswani,Mradi wa maji wa Muruny kaunti ya Pokot magharibi utawafaidi zaidi ya watu alfu 350 punde utakapokamilika. Akizungumza baada ya kuongoza ukaguzi wa mradi huo, naibu mkuu wa […]
Top News










