Tag: West Pokot
-
Serikali ya Kenya kwanza imejitolea kuimarisha maisha ya mwananchi; Arumonyang
Na Benson Aswani,Katibu wa idara ya kazi za umma Joel Arumonyang ametetea miradi ya maendeleo ambayo inaendelezwa na serikali yake rais William Ruto, akisema serikali kuu imejitolea kuimarisha maisha ya […]
-
Kampuni ya kutengeneza mfumo wa upitishaji maji taka yalaumiwa kwa kutelekeza miradi ya maendeleo Kaplelach Koror
Na Emmanuel Oyasi,Wakazi eneo la Kaplelach koror eneo bunge la Kapenguria kaunti ya Pokot magharibi wamelalamikia kutelekezwa miradi ambayo inapaswa kutekelezwa na kampuni ambayo imepewa kandarasi ya kutengeneza mfumo wa […]
-
Wachimba migodi Pokot Magharibi watakiwa kulinda ardhi ya wakazi
Na Benson Aswani,Mbunge wa Sigor katika kaunti ya Pokot magharibi Peter Lochakapong amelalamikia madhara ambayo yamesababishwa na wachimbaji madini eneo la Lami nyeusi katika ardhi ya eneo hilo. Akizungumza katika […]
-
Zoezi la kutwaa silaha haramu bonde la kerio linaendelea vyema; Murkomen
Na Benson Aswani,Waziri wa usalama na maswala ya ndani ya nchi Kipchumba Murkomen ameelezea imani kwamba zoezi la kutwaa silaha zinazomilikiwa kinyume cha sheria na baadhi ya wakazi wa kaunti […]
Top News









