Tag: West Pokot
-
Ushirikiano kati ya kamishina na serikali ya kaunti ya Pokot magharibi watajwa kuwa chanzo cha kupungua uhalifu
Na Benson Aswani,Naibu gavana kaunti ya Pokot magharibi Robert Komole ametaja ushirikiano baina ya kamishina wa kaunti hiyo Abdulahi Khalif na uongozi wa gavana Simon Kachapin kuwa ndio umechangia kupungua […]
-
Murkomen atoa hakikisho la kukabili ‘wala watu’ Pokot magharibi
Na Benson Aswani,Waziri wa usalama na maswala ya ndani ya nchi Kipchumba Murkomen amewahakikishia wakazi wa kaunti ya Pokot magharibi kwamba serikali itakabiliana kikamilifu na swala la watoto kutekwa nyara […]
-
Mpango wa ‘Ondoa Nyasi’ pokot magharibi washika kasi
Na Benson Aswani,Mpango unaondelezwa na gavana wa kaunti ya Pokot magharibi Simon Kachapin kuwajengea wakazi nyumba za mabati maarufu ondoa nyasi ni wenye manufaa makubwa hasa ikizingatiwa nyasi ambazo zinatumika […]
-
Serikali yatakiwa kuweka mikakati mwafaka kabla ya kurejelewa uchimbaji madini Pokot magharibi
Na Benson aswani,Viongozi katika kaunti ya Pokot magharibi wameitaka serikali ya kitaifa kuweka mikakati ya usalama maeneo ya kuchimba migodi katika kaunti hiyo kabla ya kuruhusu shughuli hiyo kurejelewa rasmi. […]
-
Jamii ya Sengwer yataka kuzingatiwa katika nyadhifa za ajira
Wazee wa Jamii ya Sengwer katika kaunti ya Pokot magharibi,Picha/Maktaba Na Benson Aswani,Jamii ya Sengwer katika kaunti ya Pokot magharibi imeitaka serikali kuitengea nyadhifa za kazi wakati wa zoezi la […]
-
Huenda ODM ikajiondoa Azimio kuelekea uchaguzi wa 2027; Poghisio
Samwel Poghisio aliyekuwa seneta wa kaunti ya pokot Magharibi ,Picha/Maktaba Na Emmanuel Oyasi,Kuna uwezekano mkubwa wa chama cha ODM kuunda muungano mmoja na serikali ya Kenya kwanza kuelekea uchaguzi mkuu […]
-
Serikali yangu ni safi kama pamba; Kachapin
Simon Kachapin Gavana wa kaunti ya Pokot Magharibi, Picha/Benson Aswani Na Emmanuel Oyasi,Gavana wa kaunti ya Pokot magharibi Simon Kachapin ametetea vikali utendakazi wa serikali yake akisema kwamba imezingatia pakubwa […]
-
Kachapin atofautiana na wanaopinga mwafaka baina ya Ruto na Raila
Simon Kachapin-Gavana Wa Kaunti Ya Pokot Magharibi,Picha/Benson Aswan Na Emmanuel Oyasi,Gavana wa kaunti ya Pokot magharibi Simon Kachapin ameunga mkono ushirikiano kati ya rais William Ruto na kinara wa chama […]
-
-
The County Government Of West Pokot Has Launched A Vaccine Against Livestock Skin Disease
By Benson Aswani, The West Pokot County Government through the Ministry of Agriculture and Livestock has launched an exercise to vaccinate livestock against Lumpy skin disease. Speaking early on Tuesday […]
Top News