Tag: West Pokot
-
Shule ya wavulana ya Kapenguria yapandishwa hadhi na kuwa ya kitaifa
Na Benson Aswani,Walimu na wazazi wa shule ya upili ya wavulana ya Kapenguria kaunti ya Pokot magharibi wamepongeza hatua ya kupandishwa hadhi shule hiyo kutoka kiwango cha extra county hadi […]
-
Mpango wa ‘Nyota’ wakosa msisimko uliotarajiwa
Na Benson Aswani,Idadi ndogo sana ya vijana walijitokeza katika hafla ya uhamasisho kuhusu mpango wa kuwawezesha vijana kiuchumi wa Nyota ambao umehasisiwa na rais William Ruto kwa msaada wa benki […]
-
Wakulima watakiwa kununua dawa za mimea kutoka kwenye maduka yaliyoidhinishwa
Na Benson Aswani,Wakulima katika kaunti ya Pokot magharibi wametakiwa kuwa makini wanaponunua dawa za mimea na kuhakikisha kwamba wananunua kutoka kwenye maduka ambayo yameidhinishwa na bodi ya bidhaa za kudhibiti […]
-
Wakazi wa kambi karayi waonywa dhidi ya kukaribia machimbo ya dhahabu yaliyotelekezwa
Na Emmanuel Oyasi,Wakazi eneo la Kambi Karayi na maeneo mengine ya kuchimba madini kaunti ya Pokot magharibi wametakiwa kutoendeleza shughuli ya uchumbaji madini katika machimbo ambayo yametelekezwa. Akizungumza ijumaa siku […]
-
Chanjo ya HPV yazinduliwa wazazi wakihimizwa kuhakikisha wanao wanapewa chanjo hiyo
Na Benson Aswani,Kundi la wake wa magavana nchini limetoa wito kwa wananchi kukumbatia chanjo ya kuzuia saratani ya kizazi HPV ambayo imezinduliwa rasmi na kundi hilo la wake wa magavana […]
-
Shinikizo za kutaka shule za JSS kujisimamia zaendelea kutolewa na vyama vya walimu
Na Benson Aswani,Chama cha walimu wa shule za upili na vyuo vya kadri KUPPET kimeshikilia msimamo wake kwamba ni lazima serikali itenganishe shule za sekondari msingi JSS na shule za […]
-
Vyombo vya habari vyatakiwa kuwa msitari wa mbele katika vita dhidi ya ukeketaji
Na Benson Aswani,Vyombo vya habari vimetakiwa kuchangia katika vita dhidi ya ya tamaduni ya ukeketaji vinavyoendelezwa na serikali kwa ushirikiano na mashirika mbali mbali ya kijamii, kwa kuhakikisha kwamba vinatoa […]
-
Wakazi Kacheliba wanufaika na huduma za matibabu kutoka wakfu wa Safaricom
Na Joseph Lochele,Wakazi eneo bunge la Kacheliba katika kaunti ya Pokot magharibi wamenufaika na matibabu ya bure katika kambi ya matibabu ambayo iliandaliwa jumapili kwenye shule ya upili ya wasichana […]
-
Wakulima watakiwa kukumbatia mbinu za asili za kilimo
Na Emmanuel Oyasi,Wakulima katika kaunti ya Pokot magharibi wameshauriwa kukumbatia mbinu za kiasili katika kuendeleza shughuli zao za kilimo kama njia moja ya kuimarisha mazao na kuhifadhi mazingira. Wito huu […]
-
Mhudumu wa afya amlawiti mgonjwa Murpus
Na Benson Aswani,Mhudumu mmoja wa afya mwenye umri wa miaka 55 eneo la Murpus kaunti ya Pokot magharibi anazuiliwa na maafisa wa polisi kwa madai ya kumlawiti kijana mmoja, mwanafunzi […]
Top News