News
-
MOROTO ATANGAZA KUANGAZIA UHABA WA MADARASA KABLA KUJENGA MAABARA KATIKA SHULE ZA JUNIOR SECONDARY.
Mbunge wa kapenguria katika kaunti ya Pokot magharibi Samwel Moroto amesema kwamba atatoa kipau mbele kwa ujenzi wa madarasa katika shule ya msingi ya Talau ili kutoa nafasi ya kutosha […]
-
VIONGOZI POKOT MAGHARIBI WASHUTUMU MBINU ZINATOTUMIKA KUKABILI UTOVU WA USALAMA BONDE LA KERIO.
Gavana wa kaunti ya Pokot magharibi Simon Kachapin aliongoza viongozi katika kaunti hiyo kushutumu serikali kwa kile walidai kuihami jamii moja kwa silaha katika kukabili utovu wa usalama kwenye kaunti […]
-
KISA CHA KUPIGWA NG’OMBE RISASI NA POLISI KAINUK CHAZIDI KUKASHIFIWA.
Kisa cha kuuliwa ng’ombe zaidi ya 100 mpakani pa kaunti ya Pokot magharibi na kaunti jirani ya Turkana kitendo kinachodaiwa kutekelezwa na maafisa wa polisi kimeendelea kusutwa vikali na viongozi […]
-
VIJANA 7 KUTOKA POKOT MAGHARIBI WAZUILIWA KATIKA KITUO CHA POLISI CHA LOKICHAR, TURKANA.
Viongozi wa kaunti ya Pokot magharibi wametoa wito wa kuachiliwa huru vijana saba ambao wanadaiwa kushikiliwa katika kituo cha polisi cha Lokichar katika kaunti ya Turkana baada ya kukamatwa eneo […]
-
VIONGOZI BONDE LA KERIO WATAKA KUSHIRIKISHA WANANCHI KIKAMILIFU KATIKA KUTAFUTA SULUHU KWA UTOVU WA USALAMA.
Suluhu la utovu wa usalama katika kaunti za eneo la eneo la bonde la kerio liko mikononi mwa wananchi kutoka maeneo hayo.Haya ni kulingana na aliyekuwa mwaniaji wa ubunge eneo […]
-
MIMBA ZA MAPEMA NA TATIZO LA KARO YATAJWA MIONGONI MWA SABABU ZA KUTOFANYA VYEMA KATIKA KCSE BAADHI YA WANAFUNZI.
Visa vya mimba za mapema miongoni mwa baadhi ya wanafunzi wa kike kaunti ya Pokot magharibi pamoja na tatizo la karo ni baadhi ya changamoto ambazo zilipelekea baadhi ya shule […]
-
BENKI YA EQUITY YAZINDUA UFADHILI WA WANAFUNZI KUPITIA ELIMU SCHOLARSHIP POKOT MAGHARIBI.
Benki ya Equity tawi la Kapenguria katika kaunti hii ya Pokot Magharibi imezindua rasmi mpango wa elimu scholarship kuwafadhili wanafunzi waliofanya vyema katika mtihani wa kitaifa kwa darasa la nane […]
-
WALIMU KUTOKA POKOT MAGHARIBI WANAOFUNZA TRANS NZOIA WAAPA KUTOREJEA DARASANI IWAPO HAWATAPEWA UHAMISHO.
Walimu kutoka kaunti ya Pokot magharibi wanaofunza katika shule za kaunti ya Trans nzoia waliandamana katika afisi za tume ya huduma kwa walimu TSC mjini Kapenguria kushinikiza kupewa uhamisho ili […]
-
‘KELELE’ ZA KINDIKI ZAONEKANA KUTOYUMBISHA NAFSI ZA WAVAMIZI BONDE LA KERIO.
Washukiwa wa wizi wa mifugo wamevamia vijiji vya Lokwar, Nakuse na Kaptir Turkana kusini kaunti ya Turkana na kuwaua wanafunzi wanne huku mamia ya wakazi wakilazimika kuyakimbia makazi yao kutokana […]
-
SERIKALI YA POKOT MAGHARIBI YATARAJIWA KUZINDUA BASARI KWA WANAFUNZI IJUMAA WIKI HII.
Serikali ya kaunti ya Pokot magharibi inatarajiwa kutoa hundi za fedha za basari kwa wanafunzi wote waliotuma maombi ya kutaka ufadhili huo kuanzia ijumaa wiki hii katika shughuli itakayofanyika shule […]
Top News










