News
-
JAMII MOJA NAKWIYEN YAHITAJI ZAIDI YA SHILINGI MILIONI 1 KWA UPASUAJI WA MOYO WA MWANAO.
Jamii moja eneo la Nakwiyen eneo bunge la Kacheliba katika kaunti ya Pokot magharibi inatoa wito kwa wahisani kujitokeza na kusaidia katika matibabu ya mwanao anayehitaji upasuaji wa moyo. Kulingana […]
-
WAZAZI WATAKIWA KUWATUNZA VYEMA WANAO WANAPOREJEA NYUMBANI KWA LIKIZO.
Wanafunzi wanaporejea nyumbani kwa likizo baada ya kukamilika muhula wa pili, miito imeendelea kutolewa kwa wazazi katika kaunti ya Pokot magharibi kutekeleza kikamilifu majukumu yao ya ulezi kuhakikisha wanafunzi wanasalia […]
-
MASTALUK: NITAWEKA NGUVU ZANGU ZOTE KWENYE SEKTA YA ELIMU KATIKA HIMAYA YANGU.
Mwakilishi wadi ya Kapenguria kaunti ya Pokot magharibi Richard Mastaluk amesema kwamba atawekeza kikamilifu katika swala la elimu ili kuhakikisha kwamba sekta ya elimu inaimarishwa katika wadi hiyo. Mastaluk alisema […]
-
MOROTO ATAKA SERIKALI YA KENYA KWANZA KUPEWA MUDA WA KUREKEBISHA MAKOSA YALIYOSABABISHWA NA SERIKALI ILIYOTANGULIA.
Mbunge wa Kapenguria katika kaunti ya Pokot magharibi Samwel Moroto ametofautiana na ripoti za hivi karibuni kwamba taifa haliekei kwenye mkondo bora. Akizungumza na wanahabari, Moroto alisema kwamba rais William […]
-
POLISI WALAUMIWA KWA KUWASABABISHIA HASARA WAKAZI WAKATI WA KUENDESHA OPARESHENI YA KIUSALAMA POKOT MAGHARIBI.
Baadhi ya wakazi wa kaunti ya Pokot wameshutumu jinsi ambavyo oparesheni ya kukabili wezi wa mifugo mipakani pa kaunti hiyo inaendelezwa.Aliyekuwa kwa wakati mmoja mbunge wa Sigor Christopher Lomada alidai […]
-
HATUA YA KUBUNIWA KAMATI ITAKAYOONGOZA MAZUNGUMZO BAINA YA SERIKALI NA UPINZANI YAPOKEA PINGAMIZI.
Baadhi ya viongozi katika kaunti ya Pokot magharibi wametofautiana vikali na hatua ya kubuniwa kamati ya wanachama kumi itakayoongoza mazungumzo baina ya serikali ya Kenya kwanza na upinzani chini ya […]
-
IDARA YA USALAMA POKOT MAGHARIBI YAELEZEA MAFANIKIO DHIDI YA WEZI WA MIFUGO.
Idara ya usalama katika kaunti ya Pokot magharibi imewahakikishia wakazi kwamba usalama umeimarishwa hasa maeneo ya mipakani ambako kumekuwa kukishuhudiwa utovu wa usalama unaosababishwa na wezi wa mifugo. Akizungumza afisini […]
-
VIONGOZI POKOT MAGHARIBI WALAANI MAUAJI YA MTU MMOJA OMBOLION.
Viongozi katika kaunti ya Pokot magharibi wameendelea kukashifu uvamizi wa hivi punde ambao umeshuhudiwa mipakani pa kaunti hii na kaunti jirani ya Turkana ambapo mtu mmoja aliuliwa na wahalifu eneo […]
-
KACHAPIN: MAPENDEKEZO YA JOPO LA KUANGAZIA MAGEUZI YA ELIMU YATAIMARISHA SEKTA YA ELIMU NCHINI.
Gavana wa kaunti ya Pokot magharibi Simon Kachapin amepongeza mapendekezo ya jopo lililobuniwa na rais William Ruto kuangazia mageuzi katika sekta ya elimu nchini chini ya uwenyekiti wa Prof. Raphael […]
-
BUNGE LA POKOT MAGHARIBI LAREJELEA VIKAO BAADA YA KUSITISHWA KWA MUDA KULALAMIKIA MISHAHARA.
Bunge la kaunti ya Pokot magharibi limerejelea rasmi vikao vyake baada ya kusitisha vikao hivyo kwa muda, wabunge katika bunge hilo wakilalamikia maswala mbali mbali ambayo wanashinikiza serikali kutekeleza ikiwemo […]
Top News










