News
-
VIONGOZI POKOT MAGHARIBI WAONYWA DHIDI YA KUJIHUSISHA NA SIASA ZA MAPEMA.
Naibu gavana kaunti ya Pokot magharibi Robert Komole ni kiongozi wa hivi punde kuwasuta viongozi ambao wanaendeleza siasa za mwaka 2027 mwaka mmoja tu tangu taifa kutoka kwenye msimu wa […]
-
VIONGOZI POKOT MAGHARIBI WALALAMIKIA UKEKETAJI UNAONDELEZWA KISIRI NA BAADHI YA WAZAZI.
Viongozi kaunti ya Pokot magharibi wameendelea kulalamikia visa vya ukeketaji ambavyo vinaendelezwa kisiri baadhi ya maeneo ya kaunti hiyo licha ya juhudi za viongozi na mashirika mbali mbali ya kijamii […]
-
ALEUTUM: VISA VYA UTOVU WA USALAMA VIMEPUNGUA KWA ASILIMIA MOJA PEKEE POKOT MAGHARIBI TANGU KUANZA OPARESHENI DHIDI YA WAHALIFU.
Mwakilishi kina mama katika kaunti ya Pokot magharibi Rael Aleutum amesema kwamba visa vya utovu wa usalama maeneo ya mipaka ya kaunti hiyo vimepungua kwa asilimia ndogo sana tangu kuanza […]
-
KINDIKI ALAUMIWA KUFUATIA MAUAJI YA MTU MMOJA LAMI NYEUSI.
Viongozi kaunti ya Pokot magharibi wamelaani vikali kisa cha kuuliwa mtu mmoja eneo la Lami nyeusi na wavamizi wanaoaminika kutoka kaunti jirani. Wakiongozwa na naibu gavana kaunti hiyo Robert Komole, […]
-
GAVANA KACHAPIN AMSUTA LONYANGAPUO KWA KUTELEKEZA MIRADI ALIYOANZISHA.
Gavana wa kaunti ya Pokot magharibi Simon Kachapin amesifia jengo jipya la bunge la kaunti hiyo analosema kwamba litakuwa bunge la kisasa litakalotoa mazingira bora kwa waakilishi wadi kutekeleza shughuli […]
-
ONYANCHA: MASOMO YA SEKONDARI YA MSINGI YAMEFAULU PAKUBWA KIPKOMO.
Shughuli za masomo katika shule ya sekondari ya msingi eneo la Kipkomo, pokot kusini kaunti ya Pokot magharibi zinaendelea vyema kulingana na matarajio. Haya ni kulingana na mkurugenzi wa elimu […]
-
SERIKALI YAENDELEA KUIMARISHA JUHUDI ZA KUKABILI MAKALI YA UKAME KATIKA BAADHI YA MAENEO YA POKOT MAGHARIBI.
Naibu kamishina eneo la pokot ya kati Jeremiah Tumo amesema kwamba serikali inaendelea kuweka mikakati ambayo itahakikisha kwamba ukame ambao unaendelea kushuhudiwa maeneo mbali mbali ya kaunti ya Pokot magharibi […]
-
IDARA YA USALAMA KIPKOMO YAONYA VIKALI DHIDI YA BIASHARA YA MIHADARATI NA POMBE HARAMU.
Idara ya usalama eneo la Kipkomo eneo bunge la Pokot kusini kaunti ya Pokot magharibi imeapa kukabili biashara ya mihadarati eneo hilo kuhakikisha kwamba inamalizwa kabisa. Hii ni baada ya […]
-
SERIKALI YAENDELEZA ZOEZI LA KUSAMBAZA CHAKULA SHULENI MHULA WA TATU UNAPOTARAJIWA KUAZA RASMI.
Shule mbali mbali za msingi eneo la Kipkomo katika kaunti ya Pokot magharibi zimepokea chakula kutoka kwa serikali ya kitaifa kupitia mpango wa lishe shuleni, shule zinapotarajiwa kufunguliwa juma lijalo […]
-
IDARA YA USALAMA POKOT YA KATI YAKANA KUTUMIA NGUVU KUPITA KIASI KATIKA OPARESHENI ZA KIUSALAMA.
Idara ya usalama eneo la Pokot ya kati katika kaunti ya Pokot magharibi imepuuzilia mbali madai kwamba inatumia nguvu kupita kiasi wakati inapoendeleza oparesheni ya kukabili wahalifu ambao wanasababisha utovu […]
Top News










