News
-
KINDIKI ALAUMIWA KUFUATIA MAUAJI YA MTU MMOJA LAMI NYEUSI.
Viongozi kaunti ya Pokot magharibi wamelaani vikali kisa cha kuuliwa mtu mmoja eneo la Lami nyeusi na wavamizi wanaoaminika kutoka kaunti jirani. Wakiongozwa na naibu gavana kaunti hiyo Robert Komole, […]
-
GAVANA KACHAPIN AMSUTA LONYANGAPUO KWA KUTELEKEZA MIRADI ALIYOANZISHA.
Gavana wa kaunti ya Pokot magharibi Simon Kachapin amesifia jengo jipya la bunge la kaunti hiyo analosema kwamba litakuwa bunge la kisasa litakalotoa mazingira bora kwa waakilishi wadi kutekeleza shughuli […]
-
ONYANCHA: MASOMO YA SEKONDARI YA MSINGI YAMEFAULU PAKUBWA KIPKOMO.
Shughuli za masomo katika shule ya sekondari ya msingi eneo la Kipkomo, pokot kusini kaunti ya Pokot magharibi zinaendelea vyema kulingana na matarajio. Haya ni kulingana na mkurugenzi wa elimu […]
-
SERIKALI YAENDELEA KUIMARISHA JUHUDI ZA KUKABILI MAKALI YA UKAME KATIKA BAADHI YA MAENEO YA POKOT MAGHARIBI.
Naibu kamishina eneo la pokot ya kati Jeremiah Tumo amesema kwamba serikali inaendelea kuweka mikakati ambayo itahakikisha kwamba ukame ambao unaendelea kushuhudiwa maeneo mbali mbali ya kaunti ya Pokot magharibi […]
-
IDARA YA USALAMA KIPKOMO YAONYA VIKALI DHIDI YA BIASHARA YA MIHADARATI NA POMBE HARAMU.
Idara ya usalama eneo la Kipkomo eneo bunge la Pokot kusini kaunti ya Pokot magharibi imeapa kukabili biashara ya mihadarati eneo hilo kuhakikisha kwamba inamalizwa kabisa. Hii ni baada ya […]
-
SERIKALI YAENDELEZA ZOEZI LA KUSAMBAZA CHAKULA SHULENI MHULA WA TATU UNAPOTARAJIWA KUAZA RASMI.
Shule mbali mbali za msingi eneo la Kipkomo katika kaunti ya Pokot magharibi zimepokea chakula kutoka kwa serikali ya kitaifa kupitia mpango wa lishe shuleni, shule zinapotarajiwa kufunguliwa juma lijalo […]
-
IDARA YA USALAMA POKOT YA KATI YAKANA KUTUMIA NGUVU KUPITA KIASI KATIKA OPARESHENI ZA KIUSALAMA.
Idara ya usalama eneo la Pokot ya kati katika kaunti ya Pokot magharibi imepuuzilia mbali madai kwamba inatumia nguvu kupita kiasi wakati inapoendeleza oparesheni ya kukabili wahalifu ambao wanasababisha utovu […]
-
SERIKALI YATAKIWA KUENDELEZA MPANGO WA LISHE SHULENI ILI KUKABILI UTAPIA MLO NA KUWAVUTIA WANAFUNZI SHULENI, SARMACH.
Visa vya utapiamlo vimekithiri eneo la Sarmach eneo bunge la Sigor kaunti ya Pokot magharibi kufuatia baa la njaa ambalo linawakabili wakazi wengi wa eneo hilo. Haya ni kulingana na […]
-
DARA YA AFYA POKOT MAGHARIBI YAELEZEA WASI WASI KUHUSU ONGEZEKO LA MAAMBUKIZI YA VIRUSI VYA HIV MIONGONI MWA VIJANA.
Takwimu zinaonyesha kwamba kuna ongezeko la maambukizi ya virusi vya HIV hasa miongoni mwa vijana katika kaunti ya Pokot magharibi. Kulingana na mshirikishi wa maswala ya HIV na magonjwa ya […]
-
SHIRIKA LA NRT, POKOT MAGHARIBI LAHIMIZA HAJA YA JAMII KUELIMISHWA KUHUSU ATHARI ZA MABADILIKO YA TABIA NCHI.
Mkurugenzi wa shirika la NRT kanda ya kaskazini mwa bonde la ufa Rebecca Kochulem ameelezea haja ya jamii kuhamasishwa kuhusiana athari za mabadiliko ya tabia nchi. Akizungumza jumatatu baada ya […]
Top News










