News
-
WAKAZI POKOT MAGHARIBI WATAKIWA KUKUMBATIA BIASHARA YA USHANGA KATIKA KUJIKIMU KIMAISHA.
Wito umetolewa kwa wakazi wa kaunti ya Pokot magharibi hasa kina mama kukumbatia biashara ya ushanga ambayo imetajwa kuwa yenye manufaa makubwa na ambayo itawasaidia katika kukimu mahitaji yao ya […]
-
UTAMADUNI WATAJWA KUWA KIZINGITI KATIKA KUAFIKIWA USAWA WA KIJINSIA POKOT MAGHARIBI.
Tamaduni na imani za kijamii pamoja na siasa zimesalia changamoto kuu katika juhudi za kuafikiwa usawa wa kijinsia katika kaunti ya Pokot magharibi. Akizungumza katika hafla ya kuwahamasisha wanahabari kuhusiana […]
-
SHIRIKA LA ACF LAENDELEZA MIKAKATI YA KUKABILI ATHARI ZA MABADILIKO YA TABIA NCHI POKOT MAGHARIBI.
Shirika la ACF limewapokeza makundi 28 ya wakulima kutoka maeneo ya Pokot ya Kaskazini, pokot kusini na pokot ya kati kaunti ya Pokot magharibi miche ya mipaipai, miembe na miparachichi […]
-
WAKAZI POKOT MAGHARIBI WATAKIWA KUBADILI DHANA KUHUSU VYUO VYA KIUFUNDI NA KUVIKUMBATIA.
Wito umetolewa kwa jamii katika kaunti ya Pokot magharibi kubadili dhana kuhusu vyuo vya kiufundi vya TVET kuwa ni vya watu ambao walifeli kwenye mitihani yao. Afisa wa mipango katika […]
-
WAZAZI POKOT MAGHARIBI WATAKIWA KUTAMBUA UMUHIMU WA ELIMU KWA AJILI YA WATOTO WAO.
Wazazi katika kaunti ya Pokot magharibi wametakiwa kukumbatia elimu kwa ajili ya wanao kwa manufaa ya siku zao za usoni. Ni wito wake mkurugenzi wa elimu kaunti hiyo Simon Wamae […]
-
KAUNTI YA POKOT MAGHARIBI YA POKEA DAWA ZA KIMA CHA SHILINGI MILIONI 49.9 KUTOKA KEMSA.
Huduma za matibabu katika hospitali za kaunti ya Pokot magharibi zinatarajiwa kuimarika zaidi baada ya serikali ya kaunti kupokea dawa za kima cha shilingi milioni 49, 900 alfu, 916 kutoka […]
-
OGWENO: VITA DHIDI YA UKEKETAJI ALALE VIMEFAULU PAKUBWA.
Msaidizi wa kamishina eneo la Alale kaunti ya Pokot magharibi Mourice Ogweno amesema kwamba visa vya ukeketaji eneo hilo vimepungua pakubwa hadi chini ya asilimia 5 mwaka huu. Ogweno alisema […]
-
SERIKALI YA POKOT MAGHARIBI YAENDELEZA MPANGO WA KUANGAZIA MATUMIZI YA ARDHI.
Serikali ya kaunti ya Pokot magharibi kupitia wizara ya ardhi inaendelea kuangazia mpango wa jinsi ardhi nzima ya kaunti hiyo itapangiliwa katika shughuli mbali mbali, mpango ambao umekuwa ukishughulikiwa kuanzia […]
-
MAAFISA WA KDF WASUTWA KWA MADAI YA KUWAHANGAISHA WANANCHI LAMI NYEUSI.
Viongozi kaunti ya Pokot magharibi wamewasuta maafisa wa usalama ambao wanaendesha oparesheni ya kuwakabili wahalifu ambao wamekuwa wakiendeleza wizi wa mifugo katika kaunti 6 za kaskazini mwa bonde la ufa, […]
-
KINDIKI ALAUMIWA KWA KUENDELEA KUDORORA USALAMA MIPAKANI PA KAUNTI YA POKOT MAGHARIBI.
Viongozi kaunti ya Pokot magharibi wameendelea kutoa shinikizo kwa waziri wa usalama na maswala ya ndani ya nchi Prof. Kithure Kindiki kutimiza ahadi yake ya kuwaajiri maafisa wa NPR ili […]
Top News










