News
-
WAKAZI POKOT MAGHARIBI WATAKIWA KUBADILI DHANA KUHUSU VYUO VYA KIUFUNDI NA KUVIKUMBATIA.
Wito umetolewa kwa jamii katika kaunti ya Pokot magharibi kubadili dhana kuhusu vyuo vya kiufundi vya TVET kuwa ni vya watu ambao walifeli kwenye mitihani yao. Afisa wa mipango katika […]
-
WAZAZI POKOT MAGHARIBI WATAKIWA KUTAMBUA UMUHIMU WA ELIMU KWA AJILI YA WATOTO WAO.
Wazazi katika kaunti ya Pokot magharibi wametakiwa kukumbatia elimu kwa ajili ya wanao kwa manufaa ya siku zao za usoni. Ni wito wake mkurugenzi wa elimu kaunti hiyo Simon Wamae […]
-
KAUNTI YA POKOT MAGHARIBI YA POKEA DAWA ZA KIMA CHA SHILINGI MILIONI 49.9 KUTOKA KEMSA.
Huduma za matibabu katika hospitali za kaunti ya Pokot magharibi zinatarajiwa kuimarika zaidi baada ya serikali ya kaunti kupokea dawa za kima cha shilingi milioni 49, 900 alfu, 916 kutoka […]
-
OGWENO: VITA DHIDI YA UKEKETAJI ALALE VIMEFAULU PAKUBWA.
Msaidizi wa kamishina eneo la Alale kaunti ya Pokot magharibi Mourice Ogweno amesema kwamba visa vya ukeketaji eneo hilo vimepungua pakubwa hadi chini ya asilimia 5 mwaka huu. Ogweno alisema […]
-
SERIKALI YA POKOT MAGHARIBI YAENDELEZA MPANGO WA KUANGAZIA MATUMIZI YA ARDHI.
Serikali ya kaunti ya Pokot magharibi kupitia wizara ya ardhi inaendelea kuangazia mpango wa jinsi ardhi nzima ya kaunti hiyo itapangiliwa katika shughuli mbali mbali, mpango ambao umekuwa ukishughulikiwa kuanzia […]
-
MAAFISA WA KDF WASUTWA KWA MADAI YA KUWAHANGAISHA WANANCHI LAMI NYEUSI.
Viongozi kaunti ya Pokot magharibi wamewasuta maafisa wa usalama ambao wanaendesha oparesheni ya kuwakabili wahalifu ambao wamekuwa wakiendeleza wizi wa mifugo katika kaunti 6 za kaskazini mwa bonde la ufa, […]
-
KINDIKI ALAUMIWA KWA KUENDELEA KUDORORA USALAMA MIPAKANI PA KAUNTI YA POKOT MAGHARIBI.
Viongozi kaunti ya Pokot magharibi wameendelea kutoa shinikizo kwa waziri wa usalama na maswala ya ndani ya nchi Prof. Kithure Kindiki kutimiza ahadi yake ya kuwaajiri maafisa wa NPR ili […]
-
VIONGOZI POKOT MAGHARIBI WAONYWA DHIDI YA KUJIHUSISHA NA SIASA ZA MAPEMA.
Naibu gavana kaunti ya Pokot magharibi Robert Komole ni kiongozi wa hivi punde kuwasuta viongozi ambao wanaendeleza siasa za mwaka 2027 mwaka mmoja tu tangu taifa kutoka kwenye msimu wa […]
-
VIONGOZI POKOT MAGHARIBI WALALAMIKIA UKEKETAJI UNAONDELEZWA KISIRI NA BAADHI YA WAZAZI.
Viongozi kaunti ya Pokot magharibi wameendelea kulalamikia visa vya ukeketaji ambavyo vinaendelezwa kisiri baadhi ya maeneo ya kaunti hiyo licha ya juhudi za viongozi na mashirika mbali mbali ya kijamii […]
-
ALEUTUM: VISA VYA UTOVU WA USALAMA VIMEPUNGUA KWA ASILIMIA MOJA PEKEE POKOT MAGHARIBI TANGU KUANZA OPARESHENI DHIDI YA WAHALIFU.
Mwakilishi kina mama katika kaunti ya Pokot magharibi Rael Aleutum amesema kwamba visa vya utovu wa usalama maeneo ya mipaka ya kaunti hiyo vimepungua kwa asilimia ndogo sana tangu kuanza […]
Top News










