News
-
WAKAZI SIGOR WATAKIWA KUTOKUBALI KUHADAIWA NA VIONGOZI WANAOLENGA KULETA UHASAMA MIONGONI MWAO.
Mbunge wa Sigor katika kaunti ya Pokot magharibi Peter Lochakapong amewasuta baadhi ya viongozi wa kisiasa kaunti hiyo ambao alidai kwamba wanaeneza propaganda ambazo huenda zikachochea uhasama miongoni mwa wananchi. […]
-
HAFLA ZA MICHANGO KACHELIBA ZAPIGWA MARUFUKU HADI ITAKAPOKALIMIKA MITIHANI YA KITAIFA.
Idara ya usalama eneo la Kacheliba kaunti ya Pokot magharibi imepiga marufuku mikutano ya michango ya silk eneo hilo hadi itakapokamilika mitihani ya kitaifa hasa wa darasa la nane ambao […]
-
KACHAPIN: MAONYESHO YA KILIMO YATATUMIKA KUBADILI SURA YA KAUNTI YA POKOT MAGHARIBI MACHONI PA ULIMWENGU.
Gavana wa kaunti ya Pokot magharibi Simon Kachapin amesema maonyesho ya kilimo ambayo yanatarajiwa kuandaliwa katika uwanja wa maonyesho ya kilimo wa Kishaunet kaunti hiyo yatatumika kudhihirishia ulimwengu kwamba kaunti […]
-
MOROTO ASHINIKIZA HAKI KWA WAKAZI WALIOFURUSHWA KWENYE ARDHI YA CHEPCHOINA.
Mbunge wa Kapenguria kaunti ya Pokot magharibi Samwel Moroto ameendelea kushutumu hatua ya kufurushwa wakazi wanaoishi katika ardhi yenye utata ya chepchoina mpakani pa kaunti hiyoi na kaunti jirani ya […]
-
VIONGOZI POKOT MAGHARIBI WAENDELEZA MIKAKATI YA KULETA UTANGAMANO BAINA YA JAMII ZA POKOT NA SEBEI.
Viongozi katika kaunti ya Pokot magharibi wameelezea mikakati ambayo wanaendelea kuweka kuhakikisha kwamba jamii za Sebei na Pokot ambazo zimekuwa katika migogoro katika siku za hivi karibuni zinakumbatia amani na […]
-
BOWEN: OPARESHENI YA USALAMA IMEFANIKIWA BONDE LA KERIO.
Idara ya usalama eneo la pokot kusini katika kaunti ya Pokot magharibi imeelezea kufanikiwa oparesheni ya kiusalama ambayo inaendeshwa na maafisa wa polisi kwa ushirikiano na wale wa KDF hasa […]
-
MULEHI: USHIRIKIANO WA IDARA MBALI MBALI UNAHITAJIKA KATIKA KUSHUGHULIKIA MAJANGA KWENYE SERIKALI ZA KAUNTI.
Wadau kutoka sekta mbali mbali katika serikali za kaunti pamoja na vyombo vya habari wamekongamana mjini Kericho kupokea mafunzo kuhusiana na jinsi ya kuripoti na kushughulikia majanga yanayotokana na hali […]
-
LOCHAKAPONG AAHIDI KURAHISISHA SHUGHULI ZA WAKAZI WA SIGOR KUPITIA UKARABATI WA BARABARA.
Mbunge wa Sigor Peter Lochakapong amesema kwamba atahakikisha barabara zote katika eneo bunge lake ambazo haziko katika hali nzuri zinakarabatiwa ili kurahisisha shughuli za uchukuzi kwa wakazi wa eneo hilo. […]
-
SHINIKIZO ZA KUBAINISHWA MIPAKA YA KAUNTI ZA POKOT MAGHARIBI NA TURKANA ZAENDELEA KUTOLEWA.
Viongozi wa kisiasa katika kaunti ya Pokot magharibi wameendelea kutoa wito kwa serikali kuendesha zoezi la kubaini mipaka baina ya kaunti hiyo na kaunti jirani ya Turkana. Wa hivi punde […]
-
KINA MAMA WATAKIWA KUJIHUSISHA NA KILIMO NA KUTOWATEGEMEA ZAIDI WAUME ZAO KWA KILA JAMBO.
Kina mama katika kaunti ya Pokot magharibi wametakiwa kujihusisha na swala la kilimo cha ufugaji ili waweze kujikimu kimaisha na kutotegemea zaidi waume zao kwa kila jambo. Akizungumza eneo la […]
Top News










