Author: Charles Adika
-
-
-
-
-
-
BUNGE LA BUNGOMA KUREJELEA VIKAO JUMA LIJALO BAADA YA KUFUNGWA KWA MUDA.
Bunge la kaunti ya Bungoma litaanza kujadili mswada wa bajeti wa mwaka 2021/2022 kuanzia wiki ijayo.Kiongozi wa wengi katika bunge hilo Joseph Nyongesa amesema kuwa bunge hilo litajadili mswada huo […]
-
SERIKALI YA POKOT MAGHARIBI YAPOKEZWA VIFAA VYA KUKAGUA ARDHI KIDIJITALI.
Mwenyekiti wa kamati ya ardhi, nyumba na maendeleo ya miji katika bunge la kaunti hii ya Pokot magharibi Johnson Lokato amepongeza shirika la FAO pamoja na la umoja wa ulaya […]
-
WAKAZI WAONYWA DHIDI YA KUGAWANYWA ARDHI POKOT MAGHARIBI.
Wakazi wa kaunti hii ya Pokot magharibi hasa wanaoshi kwenye ardhi za jamii yani community land wameshauriwa kutoshinikiza kupewa hati miliki za ardhi hali itakayopelekea kugawanya ardhi hizo.Akizungumza katika fisi […]
-
SEFA YAZINDUA UJENZI WA BWAWA ORWO POKOT MAGHARIBI.
Shirika la SEFA limezindua ujenzi wa mradi wa unyunyiziaji maji mashamba wa parasany eneo la Orwo katika kaunti hii ya Pokot magharibi ili kuwawezesha wakulima eneo hilo kuendesha shughuli za […]
-
Top News







