Author: Charles Adika
-
VYAMA VYA USHIRIKA POKOT MAGHARIBI VYALENGA KUANZISHA UPANZI WA MACADAMIA, KUBORESHA KILIMO BIASHARA.
Kama njia moja ya kuinua na kuboresha kilimo cha kahawa, vyama vya ushirika kaunti hii ya Pokot Magharibi kupitia mwenyekiti wao Samson kamarich vimesema kuwa wana nia ya kuanzisha upanzi […]
-
GAVANA KACHAPIN AMSUTA PKOSING KWA MADAI YA KUTUMIA VYOMBO VYA HABARI KUMHARIBIA SIFA.
Gavana wa kaunti ya Pokot magharibi Simon Kachapin amemsuta vikali mbunge wa pokot kusini David Pkosing kwa kwa kile alisema kutumia vyombo vya habari kumharibia sifa machoni pa wakazi. Katika […]
-
WAZAZI BARINGO WALAUMIWA KWA KUWAFICHA WANAO WENYE ULEMAVU.
Wazazi katika kaunti ya Baringo wametakiwa kutowaficha wanao walio na changamoto ya ulemavu na badala yake wawasajili katika idara za serikali ili kuhakikisha kwamba wanashughulikiwa ipasavyo. Akiongea mjini kabarnet mkurugenzi […]
-
MBUNGE WA SABOTI ATAKA KUBUNIWE HAZINA YA USTAWISHAJI MAENEO YA WADI.
Mbunge wa Saboti katika kaunti ya Trans nzoia Caleb Amisi amesema kwamba atahakikisha waakilishi wadi wanapokea fedha za ustawishaji maeneo wadi kutoka kwa serikali ya kaunti katika juhudi za kuhakikisha […]
Top News









