Author: Charles Adika
-
KUONDOLEWA KWA SHULE ZA MABWENI YAKOSOLEWA NA MBUNGE WA KAPENGURIA KAUNTI YA POKOT MAGHARIBI
Baadhi ya viongozi katika kaunti hii ya Pokot magharibi wamepinga vikali mipango ya serikali kuondoa shule za mabweni ilivyotangazwa na katibu katika wizara ya elimu Belio Kipsang. Kipsang alisema kwamba […]
-
WANAFUNZI WAFAIDI NA MPANGO WA KCB FOUNDATION POKOT MAGHARIBI
Benki ya KCB kupitia wakfu wa KCB foundation inaendelea kuweka mikakati ya kuwafadhili wanafunzi zaidi werevu kutoka jamii zisizojiweza kaunti hii ya Pokot magharibi. Akizungumza baada ya kukutana na wanafunzi […]
Top News






