Author: Charles Adika
-
-
MACHIFU SIGOR WATAKA MBINU YA KUTWAA SILAHA KUTOKA MIKONONI MWA WAKAZI KUBADILISHWA.
Machifu wa eneo bunge la sigor katika kaunti ya Pokot magharibi wametoa wito wa kubadilishwa mbinu za kuendesha oparesheni ya kutwaa silaha haramu ambazo zinamilikiwa na raia eneo hilo. Wakiongozwa […]
-
UNICEF YAHIMIZA MDAHALO KUHUSU AFYA YA WATOTO KUPEWA KIPAU MBELE.
Shirika la kushighulikia mswala ya watoto UNICEF limeelezea haja ya wadau kuendeleza mdahalo kuhusiana na maswala yanayowapa kipau mbele watoto kaunti ya Pokot magharibi ili kuwepo na mbinu mpya za […]
-
-
WAKAZI WATAKIWA KUTOYAUZA MAZAO YAO YOTE WAKATI WA MAVUNO ILI KUKABILI BAA LA NJAA MSIMU WA UKAME.
Wito umetolewa kwa wakazi wa kaunti ya Pokot magharibi kuwa makini wakati wanapovuna mazao yao na kutoyauza yote ili kukabiliana na baa la njaa hasa misimu ya ukame. Ni wito […]
-
WEZI WA MIFUGO WAENDELEA KUKAIDI OPARESHENI YA KIUSALAMA BONDE LA KERIO, HUKU IDADI YA NG’OMBE ISIYOJULIKANA WAKIIBWA TAMBACH.
Taharuki ingali imetanda katika kijiji cha Kapushen wadi ya Tambach eneo la pokot kusini kaunti ya Pokot magharibi baada ya wezi wa mifugo kuvamia eneo hilo usiku wa kuamkia jumapili […]
Top News








