Author: Charles Adika
-
WANAOENDESHA OPARESHENI YA KIUSALAMA BONDE LA KERIO WATAKIWA KUDUMISHA NIDHAMU KATIKA SHUGHULI NZIMA.
Viongozi katika kaunti ya Pokot magharibi wameendelea kutoa wito kwa maafisa wa usalama ambao wanaendesha oparesheni ya kiusalama katika kaunti 6 za kaskazini mwa bonde la ufa kuiendesha kwa utaratibu […]
-
SERIKALI YAWAHAKIKISHIA WAKAZI SULUHU KWA TATIZO LA MAJI POKOT MAGHARIBI.
Serikali ya kaunti ya Pokot magharibi imeendelea kuweka mikakati ya kukabili tatizo la uhaba wa maji ambalo limekumba jamii nyingi maeneo mbali mbali ya kaunti hiyo na ambao umechangiwa pakubwa […]
-
MASHIRIKA YA KIJAMII POKOT MAGHARIBI YAELEZEA WASI WASI KUHUSU VIWANGO VYA DHULUMA DHIDI YA WANAWAKE.
Mashirika mbali mbali ya kijamii katika kaunti ya Pokot magharibi yalitumia hafla ya kuadhimisha siku ya kimataifa ya wanawake duniani jumatano kuwahamsasisha wanawake kuhusu haki zao katika jamii. Wakiongozwa na […]
-
VIONGOZI POKOT MAGHARIBI WAKOSOA HATUA YA KUHUSISHWA KAUNTI HII NA UTOVU WA USALAMA.
Baadhi ya viongozi katika kaunti ya Pokot magharibi wameendelea kukosoa dhana kuwa uhalifu mwingi ambao unatokea katika kaunti za bonde la kerio unahusisha jamii ya Pokot. Wakiongozwa na mbunge wa […]
Top News








